Wauzaji wa Viatu vikali vya mtumba (Raba na Mokaz) pia tunauza na mapochi na mabegi ya mtumba

Wauzaji wa Viatu vikali vya mtumba (Raba na Mokaz) pia tunauza na mapochi na mabegi ya mtumba

Haya wale wenye miguu midogo mizigo yenu hiyo hapo
#MtumbaOg
20230515_173011.jpg
20230515_173018.jpg
20230515_173054.jpg
20230515_173101.jpg
20230517_143423.jpg
20230517_143433.jpg
 
Kwa kweli watu tunapenda vitu tofauti tofauti lakini binafsi hakuna kiatu kinachonishawishi kukinunua kwa bei zilizoandikwa.
Ni maoni yangu binafsi pole sana kama kuna mtu atakereka.
Unapenda bei isiandikwe?
 
Mzigo mpya huo changamkia chapu kwa haraka

Chaguwa mguu wako then nipigiye simu

Location: Karume,Ilala

0689150968
20230512_145939.jpg
20230512_150000.jpg
20230515_173955.jpg
20230515_174007.jpg
20230515_174139.jpg
20230515_174133.jpg
20230515_174651.jpg
20230515_175421.jpg
20230515_175651.jpg
20230515_180033.jpg
20230515_180155.jpg
20230515_180249.jpg
20230515_180836.jpg
20230515_180857.jpg
20230515_180918.jpg
20230517_153014.jpg
 

Attachments

  • 20230517_153009.jpg
    20230517_153009.jpg
    125.8 KB · Views: 13
  • 20230517_153025.jpg
    20230517_153025.jpg
    277 KB · Views: 19
Unapenda bei isiandikwe?
Siwezi kuzuia mtu kuandika chochote anachokitaka kwa sababu mimi si miongoni mwa wamiliki wa JF ila nina haki ya kutoa maoni katika uzi wa yeyote sijali kama atafurahi au atachukizwa.
Maoni yangu binafsi sijavutiwa na hivyo viatu wala bei yake simsemei mtu mwingine yeyote hivyo kama umekereka pole sana.
 
Siwezi kuzuia mtu kuandika chochote anachokitaka kwa sababu mimi si miongoni mwa wamiliki wa JF ila nina haki ya kutoa maoni katika uzi wa yeyote sijali kama atafurahi au atachukizwa.
Maoni yangu binafsi sijavutiwa na hivyo viatu wala bei yake simsemei mtu mwingine yeyote hivyo kama umekereka pole sana.
Kupenda au kuto kupenda kitu ni perseption za mtu boss,naamini kabisa kuna vitu vingine ambavyo ww unavipenda ila wengine hawavipendi its matter of choice boss, na kuhusu kutowa maoni unaruhusiwa kwa sababu tangazo limewekwa hadharani...ningekuwa labda sitaki maoni sidhani kama ningepost hadhani ningewatumia watu inbox...unakaribishwa kuowa maoni yoyote boss usijali
 
Kupenda au kuto kupenda kitu ni perseption za mtu boss,naamini kabisa kuna vitu vingine ambavyo ww unavipenda ila wengine hawavipendi its matter of choice boss, na kuhusu kutowa maoni unaruhusiwa kwa sababu tangazo limewekwa hadharani...ningekuwa labda sitaki maoni sidhani kama ningepost hadhani ningewatumia watu inbox...unakaribishwa kuowa maoni yoyote boss usijali
Kama unalijua hilo hamna haja ya kujibishana ungetosheka na mchango wangu wa mwanzo ungesoma ungepita tu,usitarajie ukiweka mada yako basi kila mtu atatoa maoni yale unayopenda wewe kuyasikia.
 
Kama unalijua hilo hamna haja ya kujibishana ungetosheka na mchango wangu wa mwanzo ungesoma ungepita tu,usitarajie ukiweka mada yako basi kila mtu atatoa maoni yale unayopenda wewe kuyasikia.
Possibly hukunielewa!!! Sikukuuliza kwa ajili ya ku argue bali nilikuuliza ili nijifunze kitu kutoka kwako,lakini naona umeniquote vibaya boss please samahani sana boss kwa kutokuelewana
 
Viatu Vyako ni vizuri sana,ukizingatia ni Mtumba na Bei zako ni nzuri sana pia Usichoke kupost mkuu.
Shukrani sana boss karibu sana kwa uhitaji wa viatu bora vya mtumba grade 1
 
Mkuu mm viatu mtumba og lakini hizo bei mboni hazi reflect reality? Kwa uzoefu wangu mm apo karume ongezeko la bei kwako ni kubwa sana.
Bei ya kiatu inategemea na namna kilivyonunuliwa boss hivi sio viatu vya mabalo ni viatu vya kupoint.. karume kuna viatu mpaka vya laki na nusu boss
 
Namba 41
Bei:Tshs 55,000/=
Location:Karume
0689150968

Mtumba grade 1
20230531_124249.jpg
 
Back
Top Bottom