Wavaaji wa miwani ya macho ni wajuaji (much know)

Wavaaji wa miwani ya macho ni wajuaji (much know)

Tatizo la wabongo wamezoea porojo wakikutana na Watu wanaowataka watoe facts mnawaita wajuaji.

Mbongo anaweza akakuambia uchawi upo.
Alafu ukambishia ili akupe facts Kwa vile Hana uwezo wa kujenga hoja atakuita Mjuaji.

Hiyo pia inawakumba Wanawake wengi weñye Akili za kuhoji àmbapo wakikutana na Wanaume wengi wa kibongo Wazee wa ndîo Mzee. Huwaita Wadada hao wajuaji
Upo tz unaambiwa uchawi upo unambishia sasa kama sio ujuaji huo ni nini mkuu?
 
Sasa ulitaka Mtu akukubalie unapoongea Vitu vya uongo visivyo na ukweli Wala mantiki?

Mfano, Mtu anakuambia Huko kigoma Mwanamke Kazaa Kuku alafu anaongea kama ni kweli Wakati siô kweli. Unamwambia Mtu hawezi kuzaa Kuku hizô ni drama na propaganda.
MTU anakuona Mjuaji. Wakati ni Jambo Dogo la Àkili ya kawaidà tuu
Shida ni mtazamo HASI kwa neno mjuaji ila ukiwaza kwenye mlengo chanya hakuna tatizo
 
sio wote ila wengi wao wana kaushamba flan cha kujiona wajuaji wa kila kitu, eti wanajifanya wao ni search engine kama google eti. haswa ukute ana ki_NYUZI kimoja utamkoma.
 
Back
Top Bottom