Wavaaji wa miwani ya macho ni wajuaji (much know)

Upo tz unaambiwa uchawi upo unambishia sasa kama sio ujuaji huo ni nini mkuu?
 
Shida ni mtazamo HASI kwa neno mjuaji ila ukiwaza kwenye mlengo chanya hakuna tatizo
 
sio wote ila wengi wao wana kaushamba flan cha kujiona wajuaji wa kila kitu, eti wanajifanya wao ni search engine kama google eti. haswa ukute ana ki_NYUZI kimoja utamkoma.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…