Wavuta Bangi Watatu

Wavuta Bangi Watatu

Red Scorpion

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2012
Posts
5,736
Reaction score
4,252
Wavuta bangi watatu wamevunja duka la dhahabu ili waibe, [emoji536]

Mmoja kachukua dhahabu,
Wa pili kachukua pesa[emoji383][emoji385],
Wa tatu kakaa dukani,[emoji15][emoji15]

Mwenye duka kaja na polisi kufungua mlango wakamkuta jamaa kakaa mguu juu ya mguu[emoji15][emoji15]

Akaulizwa: kwa nini hukutoroka kama wenzako..??

Kajibu: Sisi tulikuwa watatu:-
Mmoja kachukua dhahabu,
Mwingine pesa na mm nimechukua duka

Hahahahahahaaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wavuta bangi watatu wamevunja duka la dhahabu ili waibe, [emoji536]

Mmoja kachukua dhahabu,
Wa pili kachukua pesa[emoji383][emoji385],
Wa tatu kakaa dukani,[emoji15][emoji15]

Mwenye duka kaja na polisi kufungua mlango wakamkuta jamaa kakaa mguu juu ya mguu[emoji15][emoji15]

Akaulizwa: kwa nini hukutoroka kama wenzako..??

Kajibu: Sisi tulikuwa watatu:-
Mmoja kachukua dhahabu,
Mwingine pesa na mm nimechukua duka

Hahahahahahaaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
.
 
Wavuta bangi watatu wamevunja duka la dhahabu ili waibe, [emoji536]

Mmoja kachukua dhahabu,
Wa pili kachukua pesa[emoji383][emoji385],
Wa tatu kakaa dukani,[emoji15][emoji15]

Mwenye duka kaja na polisi kufungua mlango wakamkuta jamaa kakaa mguu juu ya mguu[emoji15][emoji15]

Akaulizwa: kwa nini hukutoroka kama wenzako..??

Kajibu: Sisi tulikuwa watatu:-
Mmoja kachukua dhahabu,
Mwingine pesa na mm nimechukua duka

Hahahahahahaaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nahisi walimtwanga mpaka basi
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Back
Top Bottom