Wavutaji wote hapa

mr qns

Senior Member
Joined
Jan 3, 2018
Posts
193
Reaction score
197
WAGWAN RASTA,maninja wote ambao tunatumia ile kitu asili mmea,tukutane hapa.tupeane michapo ya weed,habari za weed,utani wa weed na vitu ka hizo u know.hakuna kitu kama weed na hapa tunailegalise....ngonga ,washa vuta.roll in peace rasta.....
 
Wakati nipo form 3 ndio nimeanza hizi mambo nikipiga vitu napata mzuka wa kusomaa mbaayaa....kitu cha ten ten ni mwendo wa kupasiana vijiti tu
 
mida hii yajioni kijua kinaza ndio mida ya kuchill,pembeni mirinda nyeusi na tunakula kitu taratibu yani kama tupo wakanda,na pembeni tunapiga maplaylist ya hatari....[emoji23][emoji23][emoji23] hakuna kama weed mazee,wazee wagambe hapa wakasome [emoji23][emoji23]
 
Sasa mleta Uzi ungeanza na kutoa stori/kisa chako juu ya 'herbs' au 'dawa' ama 'cha Arusha'...ganja..kijiti..au Bob Marley[emoji108]

tiririka wana wapandishe mzuka wa story...nje ya hapa unakata 'stimu' machalii

halafu bei ya 'Bangili' inapanda daily kwa pusha...siku hizi inalipiwa kodi.!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…