Wavutaji wote hapa

Wavutaji wote hapa

Tanzania wengi tunavuta shabu,substandard ganja a.k.areggie.bangi miti kibao,vumbi humohumo,mimbegu humohumo,bangi yenyewe imechumwa kabla haijakomaa vizuri wala kukaushwa kitaalamu,nyengine zimelowekwa gongo na mafuta ya taa,ndo maana wengine wanawehuka.bangi unauziwa jelo tena mjini unategemea itakuwa na ubora wa maana?.

Ganja nzuri/high grade huwa haina mbegu nyingi na iliyo bora zaidi inakuwa haina mbegu kabisa(bubu/unpolinated female plant),inakuwa inanukia harufu fulani hivi amazing,inakuwa na nta ya kutosha inanata nata,ukivuta humalizi joint/blunt nzima kwa mkupuo,na lazima ukohoe kidogo.
mzee inaonekana unakul mema ya nchi
 
WAGWAN RASTA,maninja wote ambao tunatumia ile kitu asili mmea,tukutane hapa.tupeane michapo ya weed,habari za weed,utani wa weed na vitu ka hizo u know.hakuna kitu kama weed na hapa tunailegalise....ngonga ,washa vuta.roll in peace rasta.....
Acheni kuvuta bangi vijana .
 
live sema jf huwez kuedit post mkuu,mzee yani siku ya kwanz kula hii kitu ilikua pindi nipo form3,kuna masela wangu walikua wanachepuka breaktime wanaenda kupata kitu,siku kushtuka nami nikasema naenda nanyie leo,nikaomba nitest......balaaa niliporudi class kuna manzi nilikua namzia asa nina maibu kinoma,basi kuingia class tu nikamfata dadeki nikaanza kumchana palepale mbele ya wenzie hahahahah dah hii kitu inakupa confidence sio kawaida.inshort manzi mwenyewe hakuamini,watu walikua wanashangilia tu na vicheko.dadeki demu alinikubali sikuamini.kwanzia hapo nikawa na misimamo sio kitoto
Acha bangi kijana.
 
Nani kashakula GOMBA humu bila kusizi nimpe manyota......
Huu ulikuwa mchezo kuwatest vichwa vibovu....tunanyonga Gomba alaf tunapasiana mojamoja wale wenye vichwa vibovu na newcomers lazima wasizi
Gomba kwangu haina stimu yoyote
 
Back
Top Bottom