Wavuvi Kanda ya Ziwa walia na Waziri Ndaki

saidoo25

JF-Expert Member
Joined
Jul 4, 2022
Posts
624
Reaction score
1,456
Wavuvi wa Kanda ya Ziwa wamemtuhumu Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mashimba Ndaki kwa kitendo chake cha kushindwa kufika maeneo ya wavuvi kuwasikiliza ikiwemo visiwani na badala yake anaishia ziara Mwanza anaishia mjini na kuongea wa Wafanyabiashara wakubwa wa samaki na wenye viwanda huku wavuvi wakiwa na changamoto nyingi huko visiwani.

Malalamiko haya ya wavuvi yalitolewa Mei 27, 2022 lakini jana Agosti 8, 2022 ndio Rais Samia Suluhu Hassan akatangaza rasmi kutoa onyo la mwisho kutokana na Waziri huyo kushindwa kusimamia Wizara yake.

Your browser is not able to display this video.
 
Ehe anaishia mjini tu [emoji1]

Ova
 
Mtamkumbuka Luhaga Mpina haki ya Mungu. Wachina wamevamia ziwa wanavua kwa teknolojia ya kisasa nyie na migonzo yenu hata mboga ya kula na familia zenu hampati....na bado mpaka dawa iwaingie.

Mlishangilia fitina za King Musukuma Yuko wapi sasa wakati mitaji yenu imekata??
 
mmemaliza samaki kwa uvuvi haramu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…