Kiko pande zipi na sisi tupite kushangaa shangaa mambo ya mjini.....Kumekuchaaaaaaa!!!
Walevi na wadangaji kilio kwao. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kiko pande zipi na sisi tupite kushangaa shangaa mambo ya mjini.....Kumekuchaaaaaaa!!!
Walevi na wadangaji kilio kwao. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kiko pande zipi na sisi tupite kushangaa shangaa mambo ya mjini.....
🤣🤣🤣Tafuta pesaHuyu Kalito wamfuatilie vizuri, ana signs za kuwa drug dealer.
Yesu anakaribia kurudi
Hata kwa maadili ya dini tu, huwezi piga nyimbo ya Xmas alafu unachezesha watu na vichupi wakiwa wamevalia mavazi kama ya Santas..Wanafunga kabla sisi hatujaenda[emoji1]
Wachawi wengi sana
Inaonekana kijiwe kilianza kubamba.
Wahuni/competitors/wapenda sifa wakawachomea.
By the way zile mbishe za vichupi zilipaswa kuwa mambo ya ndani/mambo ya VIP sio wazi wazi kama vile
Na mbaya zaidi wakarekodi na kutupia mitandaoni.
Anyway ni changamoto tu wavuvi kempu brand ndio kama imekufa
Kalito alete kitu kipya ila kwa mbinu mpya.
Hongereniiii sanaaaa!!!Pana vibe moja kali sana la kipekee na dj wapi wakali sna wananikosha wanapo anza na ule wimbo
Soooooo nice af wanachanganua ahaaaa shetani amepita gafla mapenzi yataniua yaani raha tupu pale
Ujakaa vizuri unasiki nishaachana na mapenzi mimi natafuta hela mimi naitwa boss nisha achana na usera nikikupenda nakuonga sina ngora gafla shayoooooo
Hapana mie hata sipajuiii.Kiko pande zipi na sisi tupite kushangaa shangaa mambo ya mjini.....
..."Imesema tyuuh"...😆😆😆😆!Kheeeeh mie nimesema tyuuh.
Couz hata sipajui, achilia kuwahi kwenda.
Hongereniiii sanaaaa!!!
Kwa hiyo watu poa machoni mwa watu wao hawafanyi deals za madawa. Wewe bia za ofa zitakuponza wewe.Mimi nisha
Kaa na karito meza moja ni mtu fulana poa sana hana makuu sasa hizo
Hisia zako zimekudanganya
Pesa hazitafutwi we boya, pesa zinategwa.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Tafuta pesa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaahN
..."Imesema tyuuh"...[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huko hapanaaa.[emoji23][emoji23][emoji23] nitakutoa siku yake usijali utaludisha majibu hapa
Kwa hiyo watu poa machoni mwa watu wao hawafanyi deals za madawa. Wewe bia za ofa zitakuponza wewe.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huko hapanaaa.
Mbona mnapenda kukurupuka kuleta taarifa za uongo,kisa uwe wa Kwanza Kwanza kupost!?Taarifa zilizopo ni kwamba kile kijiwe pendwa kitafungwa rasmi tarehe 23 January 2023. Hakuna sababu zilizotolewa kufungwa kwa hiki kijiwe.
Kituo kinachofuata ni wapi?
View attachment 2483251
Ni kwel panafungwa. But hiyo n marketing mzeeMbona
Mbona mnapenda kukurupuka kuleta taarifa za uongo,kisa uwe wa Kwanza Kwanza kupost!?
Acha hizo, nitakupa ofa tukavinjari wote.Hapana mie hata sipajuiii.