Uchaguzi 2020 Wavuvi tusifanye kosa hiyo siku ya tarehe 28/10/2020

Uchaguzi 2020 Wavuvi tusifanye kosa hiyo siku ya tarehe 28/10/2020

Lipijema

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2015
Posts
830
Reaction score
1,223
Takriba miaka minne tumedhurumiwa kiasi cha kutosha haki zetu,wengi wetu tumenyanganywa nyavu zetu, ndoano, na vitendea kazi zetu ktk uvunaji wa samaki wakisema eti na zana haramu au samaki haramu, bila shaka hakuna asiyeguswa na kadhia hii ya serikali ya awamu ya tano.

Ukweli ni mengi mno, vifo kadhaa kwa wavuvi/ wasafiri waliokuwa wanapita jirani na hifadhi ya Rubondo wameuliwa!

Wanafahamu sisi ni wasahaurifu, wajinga, na ni wapumbavu/ wanyonge, hivyo walipoona kampeni zimeelekea kuanza nao wakaanza kuturegezea masharti na kuwa wapole! Tujitambue, tarehe 28/10/2020. Tusirudie kosa. Piga kura yako kwa Mh: T.Lissu.#NI YEYE 2020.
 
Takriba miaka minne tumedhurumiwa kiasi cha kutosha haki zetu,wengi wetu tumenyanganywa nyavu zetu, ndoano, na vitendea kazi zetu ktk uvunaji wa samaki wakisema eti na zana haramu au samaki haramu, bila shaka hakuna asiyeguswa na kadhia hii ya serikali ya awamu ya tano. Ukweli ni mengi mno, vifo kadhaa kwa wavuvi/ wasafiri waliokuwa wanapita jirani na hifadhi ya Rubondo wameuliwa! Wanafahamu sisi ni wasahaurifu, wajinga, na ni wapumbavu/ wanyonge, hivyo walipoona kampeni zimeelekea kuanza nao wakaanza kuturegezea masharti na kuwa wapole! Tujitambue, tarehe 28/10/2020. Tusirudie kosa. Piga kura yako kwa Mh: T.Lissu.#NI YEYE 2020.
IMG_20201018_181535.jpg
 
Wavuvi tumekwisha fanya maamuzi mimi hapa ni mwenyekiti wa eneoletu kilakitu kipo sawa kilammoja anahasira wamechukua engiene zetu nakura tuwape hatuwezi kamwe niwiito wangu wavuvi wote tumpe lisu amesema anatulipa awamu yatano imetuumiza sana
 
Wavuvi tumekwisha fanya maamuzi mimi hapa ni mwenyekiti wa eneoletu kilakitu kipo sawa kilammoja anahasira wamechukua engiene zetu nakura tuwape hatuwezi kamwe niwiito wangu wavuvi wote tumpe lisu amesema anatulipa awamu yatano imetuumiza sana
Tumkatae kwa kila namna tuwezavyo.
 
Back
Top Bottom