Wawakilishi wa Umoja wa Ulaya(EU), Umoja wa Mataifa(UN) na Mabalozi mbalimbali waendelea kufuatilia kesi ya Ugaidi inayomkabili Freeman Mbowe

Tupo pamoja Masumbwe Runzewe Isaka Sungamile Ikungu lya Bhashai Lamadi Kasekese Mpanda Murushaka Karagwe Ololosokwani mpaka Tunduma
Tupo pamoja na MWAMBA kwa karibu sana
safi sana !
 
Nimefuatilia updates, inaonekana mambo hayo yalipangwa kabla ya uchaguzi yaani kwenye mwezi wa 7 huko. Lissu aliteuliwa tarehe 24 August kama kumbukumbu zangu zipo sawa
 
Kama namuona atakavyojinyea nyea kwenye cross examination
unadhani kingai ndio mara ya kwanza kukutana na kibatala??

kitu ambacho kitamsumbua kingai ni kama tuhuma hizi ni za kuchonga,kama zina ukweli hakuna usumbufu wowote atakaopata.
 
Tukiacha ukweli uwe ukweli, kwa ushahidi huu kama ni kweli Kingai kautoa leo, nadhani Peter atamtesa sana kwa maswali magumu, yaani Kingai atanyanyasika mno mahakamani
mkuu tuwe watulivu,kama ni kweli mbowe alitenda makosa hayo,hakuna tatizo kwa kingai,zaidi ya hali kuwa mbaya kwake zaidi.

shida ni kama ni tuhuma za kuchonga,kitu ambacho wanajua mbowe na polisi.hata kibatala hajui.
 
Hii Kesi ni Isidingo tu ya kuchafua watu na chenga chenga zisozo na maana
 
Hawafuatilii kesi wanafuatilia mahela yao waliokuwa wanamtumia Mbowe ili kuleta machafuko, wazungu hawatupendi kihivyo mnavyofikiri
 
mkuu tuwe watulivu,kama ni kweli mbowe alitenda makosa hayo,hakuna tatizo kwa kingai,zaidi ya hali kuwa mbaya kwake zaidi.

shida ni kama ni tuhuma za kuchonga,kitu ambacho wanajua mbowe na polisi.hata kibatala hajui.
Hii kesi mbona iko wazi sana ! kama hujaelewa hutaelewa
 
Tamaa mbaya ya madaraka ya CCM inatufanya watanzania tudhalilike kimataifa..kudai haki yako kikatiba inageuka ugaidi.
 
Askofu majalala hana la maana sasa kuna jambo lingemshinda mbowe kumpa lisu maagizo ya kichama ,askofu kilaza Sana huyu

USSR
 
Kwani we dada mwisho wa siku hutarudi kwa Muumba wako na kwenda kujieleza mbele yake? Yule mume wako muuaji Jiwe leo yuko wapi?
 
Ni haki yao ya msingi kufuatilia mwenendo wa kesi yeyote wanayoona inawafaa!
 
Wanashuhudia mojawapo ya maajabu ya serikali ya Tz. "The case is one of the tourist attraction (fiction)".
 
we tafuta ugari familia iende mbele wakina mbowe wapo gerezani lakini hela bado inaingi
e
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…