Wawakilishi wa Umoja wa Ulaya(EU), Umoja wa Mataifa(UN) na Mabalozi mbalimbali waendelea kufuatilia kesi ya Ugaidi inayomkabili Freeman Mbowe

Irving Younger’s Ten Commandments

You should apply Irving Younger’s Ten Commandments of cross-examination
if at all possible.They areas follows:
a. Bebrief;
b. Use plain words;
c. Ask only leading questions;
d. Be prepared;
e. Listen carefully;
f. Don’ta rgue with witnesses;
g. Avoid repetition;
h. Limit witnesses explanations;
i. Limit questioning;and
j. Save the main point for your closing address
 
Hakuna utata hapo. Ni huyu anayejiita askofu kutokujua masuala ya sheria. Bora abaki kanisani ya mahakamani waachie wataalam wake
 
Tumemualika Mungu anaye toa haki bila kuangalia makunyazi na mwisho atatowa adhabu na nyote mtaona
 
Mbona unaharaka kama cha kwanza?? kwani umefika wakati wa kutambua vielelezo?? suburi bhana uwe mpole kwanza, ukifika wakati wa kuitisha vielelezo hapo kimbia uje uanze kurukaruka hakuna shida
Vielelezo vilishatajwa mkuu kule Kisutu, vinajulikana. Hii ya madawa ya kulevya vielelezo havikuwepo
 
Mbona unaharaka kama cha kwanza?? kwani umefika wakati wa kutambua vielelezo?? suburi bhana uwe mpole kwanza, ukifika wakati wa kuitisha vielelezo hapo kimbia uje uanze kurukaruka hakuna shida
uko nyuma mno !
 
Yuko vizuri sana
 
Baba MUNGU,baba wa haki,
Tunakuomba umulike jambo hili.

Kwako wewe, haki itapatikana,
Iwe leo,au kesho.

Amina.
 
Katika yote nimefurahishwa na ushahidi unaodai walipanga kukata miti na kuiweka barabara ya Morogoro kuanzia Dar es Salaam mpaka Mbeya ambako wangechoma kituo cha mafuta! Hapa nikaona ukweli kwani walikutwa na misokoto ya bangi, bila bangi isingewezekana kukata miti Dar mpaka Mbeya.
 
Watu wamekaa wanatumia raslimali za nchi maskini ambayo uchumi wake umeporomoka na karibu theluthi mbili ya wananchi wake wanaishi chini ya dola moja ya Marekani kwa kesi ya kipumbavu ya kubumba halafu eti kuna watu wanaenda kwenye nyumba za ibada eti kumuabudu Mungu.

Nawambia dhuluma kamwe haiwezi kuinua taifa, taifa huinuliwa na haki. Dhuluma kama hizi ndio maana nchi kila uchao inazidi kuwa masikini haijalishi mna rasilimali kiasi gani. Bure kabisa.
 
Hawa walinzi wetu walivyo na akili ndogo, cross examination itakuwa ni uthibitisho wa namna hawa watu walivyokosa hata ile akili ya kawaida.

Tutakuwa na jeshi zuri tutakapobadili vigezo.

Vigezo vile vya kusema kuwa, huyu ni mtukutu, uwezo wake darasani ni mdogo, hana nidhamu, kazi inayomfaa ni upolisi, ndivyo vinavyolifanya Taifa letu kupata aibu na laana tuliyo nayo sasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…