bila bangi 😂 aiseeKatika yote nimefurahishwa na ushahidi unaodai walipanga kukata miti na kuiweka barabara ya Morogoro kuanzia Dar es Salaam mpaka Mbeya ambako wangechoma kituo cha mafuta! Hapa nikaona ukweli kwani walikutwa na misokoto ya bangi, bila bangi isingewezekana kukata miti Dar mpaka Mbeya.
Gaidi la saccos na huruma ya mabeberu mwitu.Pamoja na Serikali ya Tanzania kutopendezwa na Wawakilishi wa kimataifa kutoka EU , UN na Waheshimiwa Mabalozi kujionea dhuluma dhidi ya Mwenyekiti wa Chadema , Freeman Mbowe Mahakamani , lakini Wazungu hao wameendelea kupuuza wito huo wa Wizara ya mambo ya nje na kuendelea kumiminika kwenye Mahakama ya Uhujumu Uchumi ili kujua kinachoendelea .
View attachment 1938700View attachment 1938701
Muathirika wa utawala wa kidikteta wa awamu ya 5 aliyeponea tundu la sindano Tito Magoti naye amejivuta kusikiliza ugaidi wa Laki 6
View attachment 1938747
Wewe ni shetani.Dawa ya Gaidi ni kumrudisha kwa muumba Hilo ndilo jukumu la Serikali jukumu la Muumba ni kutoa hukumu
Kama ilivyo kwa shetani atapata wafuasi WENGI Sana na ukikosea tu atapewa nafasi ya kututesa kama hatutawahi kumpa anachostahili.
Siwahamini Sana hawa wadau wanaowakilisha na wanatafsiri SHERIA
Lile shetani la chato liko wapi leoDawa ya Gaidi ni kumrudisha kwa muumba Hilo ndilo jukumu la Serikali jukumu la Muumba ni kutoa hukumu
Kama ilivyo kwa shetani atapata wafuasi WENGI Sana na ukikosea tu atapewa nafasi ya kututesa kama hatutawahi kumpa anachostahili.
Siwahamini Sana hawa wadau wanaowakilisha na wanatafsiri SHERIA
Dawa ya Gaidi ni kumrudisha kwa muumba Hilo ndilo jukumu la Serikali jukumu la Muumba ni kutoa hukumu
Kama ilivyo kwa shetani atapata wafuasi WENGI Sana na ukikosea tu atapewa nafasi ya kututesa kama hatutawahi kumpa anachostahili.
Siwahamini Sana hawa wadau wanaowakilisha na wanatafsiri SHERIA
mbwa koko kama wewe huna faida duniani wala aheraDawa ya Gaidi ni kumrudisha kwa muumba Hilo ndilo jukumu la Serikali jukumu la Muumba ni kutoa hukumu
Kama ilivyo kwa shetani atapata wafuasi WENGI Sana na ukikosea tu atapewa nafasi ya kututesa kama hatutawahi kumpa anachostahili.
Siwahamini Sana hawa wadau wanaowakilisha na wanatafsiri SHERIA
Masala Ga Ngokhoo kabisaLile shetani la chato liko wapi leo
Akili za kuku hizi
Leo hajavaa kanzu na kanda kama la bongo manKutoka barazani mwa Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula
1hr ago·
Kwa mujibu wa Shahidi wa ACP Ramadhan Kingai (pichani), Freeman Mbowe alimuahidi Luteni Dennis Urio kuwa wakifanikisha kuchukua nchi [kwa njia ya mapinduzi] yeye Mbowe angempa nafasi kubwa.
Hata hivyo, aliyekuwa Mgombea wa Kiti cha Urais kupitia CHADEMA alikuwa Tundu Lissu. Hivyo kama CHADEMA ingeshinda, Lissu ndio angelikuwa Rais wala siyo Mbowe. Hapa kuna maswali kadhaa:
1. Kama Tundu Lissu ndiye ambaye angelikuwa Rais endapo CHADEMA wangelishinda Urais, Mbowe angewezaje kuahidi kutoa nafasi kubwa kwa watu wengine?
2. Inaonekana Mbowe [kama ushahidi wa ACP Kingai unavyodai] alikuwa tayari kupindua hata Serikali ya Tundu Lissu ili atimize ahadi yake?
3. Kuna kujikanganya kidogo katika mtiririko wa ushahidi: (a) Kuna kauli 'kuelekea Uchagauzi Mkuu'; (b) Kuna mazingira yanayoonyesha kuwa ACP Kingai alipanda cheo na kuushughulikia jambo hilo Novemba 2020, baada ya Uchagauzi Mkuu. Wakili wa Serikali hamuongozi vizuri Shahidi huyo kujibu maswali yaliyojificha, hivyo majibu yake bado yanaacha maswali mengi!
4. Kwa mantiki ya hoja ya 3 hapo juu, ni lini hasa Mbowe et al walipanga kufanya ugaidi wao? Je, ni kabla ya Uchaguzi Mkuu, kuelekea Uchaguzi Mkuu au baada ya Uchaguzi Mkuu?
5. Wakili wa Jamhuri anayemhoji Shahidi ACP Kingai hakuonekana kutilia sana maanani kipengere cha 'lini' katika hojaji yake. Hatujui kama ni makusudi, mkakati, au kupitiwa.
6. Je, hayo mambo yalikuwa kabla ya Uchaguzi Mkuu au kuelekea Uchaguzi Mkuu, Mbowe alikuwa amejua kuwa CHADEMA kitashindwa Uchaguzi Mkuu?
7. Inakuwaje Mwenyekiti wa Chama kikubwa cha upinzani nchini apange njama nzito kama hizo peke yake na Askari Jeshi mmoja wa kukodi huku Chama chake hakijui?
8. Ni Kiongozi gani wa Chama alijua mpango wa Mbowe au ni kikao gani cha Chama kilijadili kwa siri mpango huo na kilifanyika wapi na kiliwahusisha viongozi gani?
Kesi ya Mbowe na wenzake inavuta hisia za watu wengi. Mambo ndio kwanza yameanza katika Kesi hiyo ambayo ingawa haijatamkwa hivyo, lakini kwa mujibu ushahidi wa ACP Kingai, ilipaswa kuwa ni 'Kesi ya Uhaini'! Kwa kadiri ushahidi utakavyoendelea kutolewa, tutashuhudia mengi sana katika Kesi hii ya kusisimua! Endelea kutega sikio Mahakamani!
Uchambuzi wa Askofu ni mantiki (logic) ya mantiki (Reasoning of a Reason)!
Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!
Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula
Mkuu ingekuwa wakati wa JKN tungemtaka aende akasome ELIMU YA WATU WAZIMA (Ngumbalu), sasa labda aende MWEMKA kama ipo, vinginevyo ni hasara ya Taifa.umeishia darasa la ngapi ?
Mkuu ingekuwa wakati wa JKN tungemtaka aende akasome ELIMU YA WATU WAZIMA (Ngumbalu), sasa labda aende MWEMKA kama ipo, vinginevyo ni hasara ya Taifa.umeishia darasa la ngapi ?
Kwani wao wamekwambia wanakupenda?.Usidhani wazungu ni wajinga kama wewe.Hawafuatilii kesi wanafuatilia mahela yao waliokuwa wanamtumia Mbowe ili kuleta machafuko, wazungu hawatupendi kihivyo mnavyofikiri
askofu mchumia tumbo aliyekula hela za mabeberu katika ubora wako hivi hujui mwenyekiti ndiyo kila kitu hapo hata angechukua madaraka lissu kitu ambacho hakiwezekani chini ya jua mbowe anaweza kupanga safu kama mwenyekiyti acha uzwazwa wako unajiita askofu huku unakula hela za watu ukiwaahidi mtachukua nchi huna hata aibu acha uaskofu uwe mwana siasaKutoka barazani mwa Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula
1hr ago·
Kwa mujibu wa Shahidi wa ACP Ramadhan Kingai (pichani), Freeman Mbowe alimuahidi Luteni Dennis Urio kuwa wakifanikisha kuchukua nchi [kwa njia ya mapinduzi] yeye Mbowe angempa nafasi kubwa.
Hata hivyo, aliyekuwa Mgombea wa Kiti cha Urais kupitia CHADEMA alikuwa Tundu Lissu. Hivyo kama CHADEMA ingeshinda, Lissu ndio angelikuwa Rais wala siyo Mbowe. Hapa kuna maswali kadhaa:
1. Kama Tundu Lissu ndiye ambaye angelikuwa Rais endapo CHADEMA wangelishinda Urais, Mbowe angewezaje kuahidi kutoa nafasi kubwa kwa watu wengine?
2. Inaonekana Mbowe [kama ushahidi wa ACP Kingai unavyodai] alikuwa tayari kupindua hata Serikali ya Tundu Lissu ili atimize ahadi yake?
3. Kuna kujikanganya kidogo katika mtiririko wa ushahidi: (a) Kuna kauli 'kuelekea Uchagauzi Mkuu'; (b) Kuna mazingira yanayoonyesha kuwa ACP Kingai alipanda cheo na kuushughulikia jambo hilo Novemba 2020, baada ya Uchagauzi Mkuu. Wakili wa Serikali hamuongozi vizuri Shahidi huyo kujibu maswali yaliyojificha, hivyo majibu yake bado yanaacha maswali mengi!
4. Kwa mantiki ya hoja ya 3 hapo juu, ni lini hasa Mbowe et al walipanga kufanya ugaidi wao? Je, ni kabla ya Uchaguzi Mkuu, kuelekea Uchaguzi Mkuu au baada ya Uchaguzi Mkuu?
5. Wakili wa Jamhuri anayemhoji Shahidi ACP Kingai hakuonekana kutilia sana maanani kipengere cha 'lini' katika hojaji yake. Hatujui kama ni makusudi, mkakati, au kupitiwa.
6. Je, hayo mambo yalikuwa kabla ya Uchaguzi Mkuu au kuelekea Uchaguzi Mkuu, Mbowe alikuwa amejua kuwa CHADEMA kitashindwa Uchaguzi Mkuu?
7. Inakuwaje Mwenyekiti wa Chama kikubwa cha upinzani nchini apange njama nzito kama hizo peke yake na Askari Jeshi mmoja wa kukodi huku Chama chake hakijui?
8. Ni Kiongozi gani wa Chama alijua mpango wa Mbowe au ni kikao gani cha Chama kilijadili kwa siri mpango huo na kilifanyika wapi na kiliwahusisha viongozi gani?
Kesi ya Mbowe na wenzake inavuta hisia za watu wengi. Mambo ndio kwanza yameanza katika Kesi hiyo ambayo ingawa haijatamkwa hivyo, lakini kwa mujibu ushahidi wa ACP Kingai, ilipaswa kuwa ni 'Kesi ya Uhaini'! Kwa kadiri ushahidi utakavyoendelea kutolewa, tutashuhudia mengi sana katika Kesi hii ya kusisimua! Endelea kutega sikio Mahakamani!
Uchambuzi wa Askofu ni mantiki (logic) ya mantiki (Reasoning of a Reason)!
Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!
Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula
Ntomwaa,naatatenyu naababenuMasala Ga Ngokhoo kabisa
Pamoja na Serikali ya Tanzania kutopendezwa na Wawakilishi wa kimataifa kutoka EU , UN na Waheshimiwa Mabalozi kujionea dhuluma dhidi ya Mwenyekiti wa Chadema , Freeman Mbowe Mahakamani , lakini Wazungu hao wameendelea kupuuza wito huo wa Wizara ya mambo ya nje na kuendelea kumiminika kwenye Mahakama ya Uhujumu Uchumi ili kujua kinachoendelea .
View attachment 1938700View attachment 1938701
Muathirika wa utawala wa kidikteta wa awamu ya 5 aliyeponea tundu la sindano Tito Magoti naye amejivuta kusikiliza ugaidi wa Laki 6
View attachment 1938747
Wakafoke kwa peni zao sasaPamoja na Serikali ya Tanzania kutopendezwa na Wawakilishi wa kimataifa kutoka EU , UN na Waheshimiwa Mabalozi kujionea dhuluma dhidi ya Mwenyekiti wa Chadema , Freeman Mbowe Mahakamani , lakini Wazungu hao wameendelea kupuuza wito huo wa Wizara ya mambo ya nje na kuendelea kumiminika kwenye Mahakama ya Uhujumu Uchumi ili kujua kinachoendelea .
View attachment 1938700View attachment 1938701
Muathirika wa utawala wa kidikteta wa awamu ya 5 aliyeponea tundu la sindano Tito Magoti naye amejivuta kusikiliza ugaidi wa Laki 6
View attachment 1938747