Wawakilishi

Wawakilishi

9inone

JF-Expert Member
Joined
Jan 23, 2017
Posts
774
Reaction score
319
Wakuu na washabiki wa mchezo wa kabumbu tayari wawakilishi wetu wote ambao ni Azam na Yanga wametolewa nje ya kinyang'anyiro haijalishi kwa uzembe au la! kufugwa ni kufungwa maana ufanyapo kosa ndo upenyo wa mpinzani wako anapoponyokea ili kujiweka sawa katika nafasi husiaka. Tufanye nini wakuu ili tuweze kusonga mbele kwa kipindi kijacho? Nawakilisha waakuu.
 
Tusubiri simba wakatuwakilishe vizuri mwakani!
 
Back
Top Bottom