Dong Jin
JF-Expert Member
- Jun 4, 2018
- 968
- 2,034
Wawekezaji waheshimiwe !
Kupitia kampeni za 'NANI ZAIDI', Simba kuchangia pesa kujenga uwanja, Yanga kujiandikisha kidigigitali,, Picha halisi ni aina gani ya mashabiki waliopo kwenye vilabu vya Simba na Yanga imeonekana.
Katika zoezi la nchi nzima la kuchangisha pesa kujenga uwanja, ndani ya miezi (6) Simba SC walikusanya Tsh 60 Milioni !
Katika wiki moja tangu kampeni ya NANI ZAIDI izinduliwe, pesa zilizokusanywa nchi nzima hazitoshi hata kumnunua George Mpole !! Wakati kama mashabiki Milioni 1 tu kati ya watu Milioni (60) nchini wangetoa bukubuku klabu zingepata Tsh 1 BILIONI.
Halafu ukiwakuta mashabiki hao wanabishana vijiweni utasikia 'Mo Dewji, GSM watuachie timu zetu" wakati hata Tsh Mia mbovu hawachangii.
Safari moja tu ya Nigeria 🇳🇬 kwenda na kurudi kwenye Mchezo wa klabu bingwa Africa dhidi ya Rivers Utd GSM alitoa Tsh 700 Milioni including kukodi ndege Boing 787-8.
Safari moja ya kwenda mkoani kwenye mechi inagharimu si chini ya Tsh 250+ Milioni.
▪️ Hotel yenye hadhi ya nyota 4, 5.
▪️ Tiketi za ndege kwa watu si chini ya 30+ kwenda na kurudi.
▪️Chakula, Posho za mchezo nk..
Piga hesabu ndogo tu ni safari ngapi wamefanya kwa msimu ?!!!
Mishahara ya Wachezaji takribani (8) inaanzia Tsh 8 Milioni hadi Tsh 13 Milioni kwa kila mchezaji kwa mwezi mmoja, achilia mbali wanaolipwa Tsh Milioni 7, 6, 5 kwa mwezi nk.....
Kwa msimu GSM anatoa Tsh ngapi kwa mishahara tu including na wafanyakazi wengine wa klabu ?!!
Klabu ya Yanga inaishi moja ya kambi bora kabisa East Africa AVIC TOWN, kwa msimu GSM analipa Tsh 1+ BILIONI.
▪️Wamekodi nyumba 15
▪️Kila nyumba kodi (1+) Milioni
▪️Gharama za maji & Umeme.
▪️Gharama za Gym nk.....
Achilia mbali mamilioni ya pesa za usajili kuwaleta kina Djuma Shabani, Mayele, Bangala nk ....
Bajeti ya kuendesha klabu kwa msimu GSM anatoa takribani Tsh 6+ BILIONI.
.
.
Wapo watakaosema mbona anauza jezi ?!.... Ukitembea mtaani robo (3) ya jezi zilizovaliwa ni FEKI, It means pesa hiyo anaikosa.
Kama tunavyojuana Watanzania, mtu anaacha kununua jezi original ya Tsh 25 elfu anaenda kununua jezi feki ya Tsh 15 elfu bila kujua anaikosesha mapato timu yake na muwekezaji wake.
Inshort hawa matajiri waliowekeza kwenye vilabu vyetu 🇹🇿 WANAWEKEZA kwa mapenzi binafsi tu na timu na sio kwamba wanapata sana faida.
Kinachowavutia zaidi ni vitu (2)
1 - Wingi wa mashabiki
....Ambao wengi wao hawazisaidii timu, wao wanajua kulalamika tu timu ikifanya vibaya lakini ukiwaambia nendeni uwanjani hawaendi, jiandikisheni kidijitali hawajiandikishi, changieni uwanja Bunju, hawataki.
2 - Mapenzi binafsi na timu.
Wawekezaji waheshimiwe na walindwe 🙌
🔍 Tom Cruz
Kupitia kampeni za 'NANI ZAIDI', Simba kuchangia pesa kujenga uwanja, Yanga kujiandikisha kidigigitali,, Picha halisi ni aina gani ya mashabiki waliopo kwenye vilabu vya Simba na Yanga imeonekana.
Katika zoezi la nchi nzima la kuchangisha pesa kujenga uwanja, ndani ya miezi (6) Simba SC walikusanya Tsh 60 Milioni !
Katika wiki moja tangu kampeni ya NANI ZAIDI izinduliwe, pesa zilizokusanywa nchi nzima hazitoshi hata kumnunua George Mpole !! Wakati kama mashabiki Milioni 1 tu kati ya watu Milioni (60) nchini wangetoa bukubuku klabu zingepata Tsh 1 BILIONI.
Halafu ukiwakuta mashabiki hao wanabishana vijiweni utasikia 'Mo Dewji, GSM watuachie timu zetu" wakati hata Tsh Mia mbovu hawachangii.
Safari moja tu ya Nigeria 🇳🇬 kwenda na kurudi kwenye Mchezo wa klabu bingwa Africa dhidi ya Rivers Utd GSM alitoa Tsh 700 Milioni including kukodi ndege Boing 787-8.
Safari moja ya kwenda mkoani kwenye mechi inagharimu si chini ya Tsh 250+ Milioni.
▪️ Hotel yenye hadhi ya nyota 4, 5.
▪️ Tiketi za ndege kwa watu si chini ya 30+ kwenda na kurudi.
▪️Chakula, Posho za mchezo nk..
Piga hesabu ndogo tu ni safari ngapi wamefanya kwa msimu ?!!!
Mishahara ya Wachezaji takribani (8) inaanzia Tsh 8 Milioni hadi Tsh 13 Milioni kwa kila mchezaji kwa mwezi mmoja, achilia mbali wanaolipwa Tsh Milioni 7, 6, 5 kwa mwezi nk.....
Kwa msimu GSM anatoa Tsh ngapi kwa mishahara tu including na wafanyakazi wengine wa klabu ?!!
Klabu ya Yanga inaishi moja ya kambi bora kabisa East Africa AVIC TOWN, kwa msimu GSM analipa Tsh 1+ BILIONI.
▪️Wamekodi nyumba 15
▪️Kila nyumba kodi (1+) Milioni
▪️Gharama za maji & Umeme.
▪️Gharama za Gym nk.....
Achilia mbali mamilioni ya pesa za usajili kuwaleta kina Djuma Shabani, Mayele, Bangala nk ....
Bajeti ya kuendesha klabu kwa msimu GSM anatoa takribani Tsh 6+ BILIONI.
.
.
Wapo watakaosema mbona anauza jezi ?!.... Ukitembea mtaani robo (3) ya jezi zilizovaliwa ni FEKI, It means pesa hiyo anaikosa.
Kama tunavyojuana Watanzania, mtu anaacha kununua jezi original ya Tsh 25 elfu anaenda kununua jezi feki ya Tsh 15 elfu bila kujua anaikosesha mapato timu yake na muwekezaji wake.
Inshort hawa matajiri waliowekeza kwenye vilabu vyetu 🇹🇿 WANAWEKEZA kwa mapenzi binafsi tu na timu na sio kwamba wanapata sana faida.
Kinachowavutia zaidi ni vitu (2)
1 - Wingi wa mashabiki
....Ambao wengi wao hawazisaidii timu, wao wanajua kulalamika tu timu ikifanya vibaya lakini ukiwaambia nendeni uwanjani hawaendi, jiandikisheni kidijitali hawajiandikishi, changieni uwanja Bunju, hawataki.
2 - Mapenzi binafsi na timu.
Wawekezaji waheshimiwe na walindwe 🙌
🔍 Tom Cruz