Wawekezaji (GSM & Mo Dewji) waheshimiwe!

Wawekezaji (GSM & Mo Dewji) waheshimiwe!

Aliwahi sema pia Mo kua anatoa hela kwa mapenz tu na Simba hapati faida washabiki uchwara wasiojua hesabu wanavyodhani ,,Ni vile anaipenda simba..Hawa jamaa waheshimiwe aisee kuendesha timu sio mchezo,,mtu familia ya mke na mtoto inamshinda anasema eti tuachie timu [emoji3][emoji3]
Kabisa yaani... 👍
 
Yote hayo nakubali,yaani kwa takwimu zinaonesha mashabiki hawana uwezo hata kidogo,

Nakubaliana.

Mo Dewji aliwahi kunukuliwa kuwa anatumia zaidi ya bilioni 4,kwa Kila msimu, na ukiangalia ni kweli,

Mapato ya uwanja,Kodi za majengo ya pale Msimbazi,hata hizo hela walizopata Simba pindi wanafika hatua ya makundi na robo final,bado ukiipigia hesabu,

Ukaigawanya kotekote, hakuna kitu tajiri anapata

Maswali ya kujiuliza,

Je, inawezekanaje mtu aiongoze taasisi kubwa kabisa,pasipo kupata faida?

Nini kipo nyuma,juu ya huu uwekezaji,ukitazama kwa macho mawili,jibu ni mapenzi kwa timu lakini,jicho la tatu linakataa,kutokana na aina ya matajiri tulionao,

Vibarua tu wananyanyaswa huko kwenye viwanda vyao kwa ujira mdogo,

Huku wao Wanatoa,pesa nyingi pasi na faida

Lazima Kuna namna, either kusafisha pesa haramu,kutoka kundi fulani Tena si mtu mmoja.

Au kutengeneza pesa zaidi kwa njia za kilaghai,huku hayo mambo yakifanywa na vigogo wa nchi kwa mgongo wa Hawa matajiri.
 
Aisee,hii dunia ina wanaume hapo wanatoa hizo hela zote lakini bado familia zina enjoy maisha kama kawaida

Ndo maana huwa akizaliwa mtoto wa kiume dunia nzima inafurahi

Yote uliyoyasema ni sahihi uendeshaji wa timu hizi ni gharama sana,naona pia mtaani unapajua vizuri
 
Ni kweli kabisa sisi mashabiki sio wachangia maendeleo kabisaaaa umeeleza vema kabisa lakini mimi siamini kama hao wafanyabiashara wanajitolea bure kama unavyodhani,kuna namna wanafaidika kibiashara wale matajiri sio wajinga,wamezungukwa na jopo la wataalamu ambao wanajua namna hizo pesa zinarudije kwa faida...
 
Unakuta kuna jitu linang'ang'ania eti Mo atuonyeshe benki aliyoweka hela 20B, wakati halichangii chochote katika uendeshaji wa klabu yake, iwe Simba au Yanga !
 
1654766012547.png
 
Yote hayo nakubali,yaani kwa takwimu zinaonesha mashabiki hawana uwezo hata kidogo,

Nakubaliana.

Mo Dewji aliwahi kunukuliwa kuwa anatumia zaidi ya bilioni 4,kwa Kila msimu, na ukiangalia ni kweli,

Mapato ya uwanja,Kodi za majengo ya pale Msimbazi,hata hizo hela walizopata Simba pindi wanafika hatua ya makundi na robo final,bado ukiipigia hesabu,

Ukaigawanya kotekote, hakuna kitu tajiri anapata

Maswali ya kujiuliza,

Je, inawezekanaje mtu aiongoze taasisi kubwa kabisa,pasipo kupata faida?

Nini kipo nyuma,juu ya huu uwekezaji,ukitazama kwa macho mawili,jibu ni mapenzi kwa timu lakini,jicho la tatu linakataa,kutokana na aina ya matajiri tulionao,

Vibarua tu wananyanyaswa huko kwenye viwanda vyao kwa ujira mdogo,

Huku wao Wanatoa,pesa nyingi pasi na faida

Lazima Kuna namna, either kusafisha pesa haramu,kutoka kundi fulani Tena si mtu mmoja.

Au kutengeneza pesa zaidi kwa njia za kilaghai,huku hayo mambo yakifanywa na vigogo wa nchi kwa mgongo wa Hawa matajiri.
Yawezekana yapo yanayoendelea chini ya kapeti.... Lakini msingi mkuu wa mada ni kuwa hawa wanaosema hawa wadhamini "watuachie timu yetu" wanaweza kuiendesha hata kwa robo msimu????
 
Ni wiki sasa imepita... Kwa hiyo hela haitoshi hata kumsajili mchezaji mmoja wa kiwango bora wa ndani ya nchi... sembuse wakina Inonga B. na Mayele???
Azam Media ndio wa kuulizwa, lengo la hii programu yao ni nini hasa, kukusanya hela au kuonyesha wingi wa mashabiki au ni kitu kingine zaidi? Walipotumia neno Nani Zaidi, walimaanisha nini hasa?
 
Unakuta kuna jitu linang'ang'ania eti Mo atuonyeshe benki aliyoweka hela 20B, wakati halichangii chochote katika uendeshaji wa klabu yake, iwe Simba au Yanga !
mtu wa ivyo mpe karamu na karatasi mwambie aandike bilioni 20 kwa tarakimu ndo utajua kama wabongo wengi ni longolongo.
 
Azam Media ndio wa kuulizwa, lengo la hii programu yao ni nini hasa, kukusanya hela au kuonyesha wingi wa mashabiki au ni kitu kingine zaidi? Walipotumia neno Nani Zaidi, walimaanisha nini hasa?
Hapana Azam media sio wa kulaumiwa.... Program ilianza kama wazo toka kwa uongozi wa simba kuona ni namna gani azam tv km media itaweza kuisaidia kimaendeleo? Hilo wazo azam wakasema ili linoge na kupamba moto waunganishe timu mbili na sote ziweze kunufaika na mpango huo... Ndo hapo wazo la kuileta yanga likaja....

Amini nakwambia hii program ingewahusisha wanamsimbazi pekee bila kuweka kaushindani, leo hii simba wangekuwa hawajafika hata milioni 10!!!
(Ref: harambee ya ujenzi wa uwanja, for 6 months= 60M+... Maana kwamba kila mwezi walikuwa wanakusanya milioni 10)

So kwa kiasi kikubwa haka kaushindani kamelibust zoezi zima la mashabiki kuzipambania klabu zao. Huwezi sema hii timu tunamiliki sisi afu huchangii hata mia mbovu....
 
mtu wa ivyo mpe karamu na karatasi mwambie aandike bilioni 20 kwa tarakimu ndo utajua kama wabongo wengi ni longolongo.
🤣🤣🤣 Kuna mmoja alishawahi sema billioni 20 ni ndogo sana kwa timu kama simba... Sa tukamwambia kama hiyo ndogo wewe umechangia shi ngapi??? Anaanza kujing'ata midomo....
 
.... Program ilianza kama wazo toka kwa uongozi wa simba kuona ni namna gani azam tv km media itaweza kuisaidia kimaendeleo? Hilo wazo azam wakasema ili linoge na kupamba moto waunganishe timu mbili na sote ziweze kunufaika na mpango huo... Ndo hapo wazo la kuileta yanga likaja....
Kwa kuwa sina uhakika wa jinsi wazo lilivyoanza, kwa leo siwezi kukukatalia, yawezekana pia, so nakuwa msikilizaji tu kwa sasa
 
Back
Top Bottom