wakaliwetu
JF-Expert Member
- Jul 16, 2020
- 671
- 1,143
Kinacho kwamisha wengi ktk mradi wa Mbuzi ni maeneo kwaajili ya malisho, mbuzi ukitaka waende vyema unapashwa kuwachunga ktk free zone watamea vyema sana.Dah!!!,Mradi wa mbuzi ni mzuri sana kwasababu wanazaliana haraka sana.
Ni kweli ndugu utaalamu wa banda utakusaidia kuepukana na changamoto kubwa ya magonjwa ya mlipuko na kifua cha mara kwa mara ambacho huathiri sana ukuwaji wa Mbuzi na kudumaza wachanga wakiugua mara kwa mara.Hee!
Kumbe hadi mabanda yana utaalamu wake.
Mm niliwaza kusimisha banda ya mgongo wa tembo lenye uwazi wa wavu kwa juu.
Kisha niwarundike humo.
Nadhani natakiwa kujifunza vingi zaidi katika hii Project.
Karibu sana ndugu Mungu abariki sana maono yako na asimame nawe ktk kuuendeleza huo mradi ufikie malengo yako, utukufu kwa Mungu juu.Nashkuru sana mtumishi, kwa sasa hivi nipo kwenye ujenzi wa mabanda ya kawaida tu, nikiwa tayari by december nitafika nyumbani nijifunze kwa uhalisia zaidi.
Ni sahihi kabisa.Kinacho kwamisha wengi ktk mradi wa Mbuzi ni maeneo kwaajili ya malisho, mbuzi ukitaka waende vyema unapashwa kuwachunga ktk free zone watamea vyema sana.
niko bunjuUpo sehemu gani ndugu?
Mbuzi dume aina ya Galla napata kwa shingapi? (Mdogo Mwenye umri wa miezi 6)Karibu sana ndugu Mungu abariki sana maono yako na asimame nawe ktk kuuendeleza huo mradi ufikie malengo yako, utukufu kwa Mungu juu.
Wanapatikana Arusha ndugu na hata baadhi ya watu huku dar wapo wanaozalisha, mimi nilipatwa na shida ya ugonjwa nimepoteza Mbuzi wengi sana kwakweli, nasubiri hali itulie nianze tena,Mbuzi dume aina ya Galla napata kwa shingapi? (Mdogo Mwenye umri wa miezi 6)
Arusha mnada gani wanauzwaa???Wanapatikana Arusha ndugu na hata baadhi ya watu huku dar wapo wanaozalisha, mimi nilipatwa na shida ya ugonjwa nimepoteza Mbuzi wengi sana kwakweli, nasubiri hali itulie nianze tena,
Longido mara nyingi ndio tunaenda kuchukuwa huko, ila mimi natumia mtu anae kaa Arusha ndio ananichukulia.Arusha mnada gani wanauzwaa???
Nipo singida nawezaje kuwapata
Ndg zangu vipi soko la makondoo huko mikoani mi npo Mara na mtu akijizitatiti vizury ataweza kutoka ktk umaskini endapo akianza na makondoo mia3 majikee na madume 10...??
nilipata kutembelea Mbogo ranch iliyopo Ubena,mi nilienda kama field tour katika masuala ya mifugo. Ni share machache kuhusu farm yao pale,mi ni mara yangu ya pili kwenda pale,na sababu nilikuwa kwenye kusoma ni bahati kupatiwa elimu nyingi.NOTE! UKIENDA KUOMBA USHAURI KWA WATAALAMU WAO PALE Cost ni LAKI 3(mkurungenzi ndo alivyosema).Mbuzi dume aina ya Galla napata kwa shingapi? (Mdogo Mwenye umri wa miezi 6)
Ubena ipo mkoa wa Njombe??nilipata kutembelea Mbogo ranch iliyopo Ubena,mi nilienda kama field tour katika masuala ya mifugo. Ni share machache kuhusu farm yao pale,mi ni mara yangu ya pili kwenda pale,na sababu nilikuwa kwenye kusoma ni bahati kupatiwa elimu nyingi.NOTE! UKIENDA KUOMBA USHAURI KWA WATAALAMU WAO PALE Cost ni LAKI 3(mkurungenzi ndo alivyosema).
Kwanza pale wana breeds nyingi sana za mbuzi,Galla wakiwepo,lakin kwa size Galla anatofautiana kidogo na wa kienyeji. Pale wa Kalahari breeds,Boer breeds,n.k wana breeds 6 za mbuzi.
Kizuri pale wana mbuzi chotara kati ya hizo breeds na local ambao inawafanya wastahimili mazingira ya kawaida. Cross breeds ukienda pale utapata wa kununua,pure walisema hawauzi- labda ukifika mwenyewe lakini bei ni 2 millions mfano kwa Boer. Unaweza ukanunua moja ukawa unatumia kupandishia na wengine,of course growth rate inakuwa ya juu sana tofaut na local.
Pale kuna mengi ya kujifunza,sema sidhani kama wanaweza toa elimu bure. kuna aina ya mabanda,n.k
Cross breeds ukizipata ni nzuri zaid hata ya Galla,zile wanauza
Pole mkuu kwa changamoto ulizopata, hope hutokatishwa tamaa .natamani kuunganishwa na hao wanaokuletea nipate Gala dume la mbegu ,mi nimeanza na hawa wa kwetu kienyeji nafugia mlandiziWanapatikana Arusha ndugu na hata baadhi ya watu huku dar wapo wanaozalisha, mimi nilipatwa na shida ya ugonjwa nimepoteza Mbuzi wengi sana kwakweli, nasubiri hali itulie nianze tena,
Akijibu itakuwa poaPole mkuu kwa changamoto ulizopata, hope hutokatishwa tamaa .natamani kuunganishwa na hao wanaokuletea nipate Gala dume la mbegu ,mi nimeanza na hawa wa kwetu kienyeji nafugia mlandizi
Ndg zangu vipi soko la makondoo huko mikoani mi npo Mara na mtu akijizitatiti vizury ataweza kutoka ktk umaskini endapo akianza na makondoo mia3 majikee na madume 10...??
Mkuu naomba jambo kutoka kwako, hivi ni kweli mbuzi wa nyama wanatoa kati ya kilo 9 -12 tu za nyama?, na je kama si kweli wanaweza kutoa kilo ngapi Mkuu?. Sababu hii imenifanya nirudi nyuma kwanza kutafakari upya project ninayotaka kuifanya (sijaanza bado).Mimi nafuga Mbuzi wa nyama, nilianza hawa wakawaida sasa naanza kuweka hawa Galla kwaajili ya Nyama. Nilianza wale wa Maziwa lakini niliwatoa kwasababu ya ufugaji wao unahitaji uangalifu mkubwa sana.
Pia nafuga na Bata, Bukini na Mallad, na Bata wa kawaida.
kuhusu wawekezaji wakubwa mnaweza waangalia Mbogo Ranches wao wamewekeza vyema katika ufugaji wa Ngombe na Mbuzi.
Ndg zangu vipi soko la makondoo huko mikoani mi npo Mara na mtu akijizitatiti vizury ataweza kutoka ktk umaskini endapo akianza na makondoo mia3 majikee na madume 10...??