Wawekezaji Sekta ya Mifugo


Binafsi natafuta ardhi mkoa wa shamba nianze kuliendeleza kidogo kidogo ( investment ya miaka mbele) kwa ajili ya kondoo. Nikihitaji Red maasai, Dorper, Nairobi meat master basi Jirani zetu Kenya wako vizuri kwa breeding ( wametutangulia kiu kweli)
 
Ni kweli kabisa. Niliwahi kuwapoteza mbuzi karibia wote kwa homa ya mapafu 2018. Nikabakiwa na Galla 2 na chotara mmoja. Wote ni wazaa mapacha karibia kila uzao. Mbegu tamu sana.
 
Kinacho kwamisha wengi ktk mradi wa Mbuzi ni maeneo kwaajili ya malisho, mbuzi ukitaka waende vyema unapashwa kuwachunga ktk free zone watamea vyema sana.
Nina heka kama 300bhuko kusini hapo naweza kufunga mbuzi wangapi?
 
Nadhani wanaofuga wanayajua masoko
Mama D kwakweli soko bado liko chini sema shida hao Galla/Isiolo wa sh Laki 3 mara Nyingi unapotafuta Mbegu ndio bei zinakuwa kubwa hivyo ila soko ndio mapambano sasa,
 
Mama D kwakweli soko bado liko chini sema shida hao Galla/Isiolo wa sh Laki 3 mara Nyingi unapotafuta Mbegu ndio bei zinakuwa kubwa hivyo ila soko ndio mapambano sasa,
Vipi ukienda kama mnunuzi wa kawaida
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…