Karibu sana ningekushauri kitu kwenye mabanda,jitahidi uweze kuachanisha vizuri hapo chini ili wasiumize miguu wakati wa kulala maana Mbuzi madume wao huanza fujo kwenye kuminamoja alfajiri, hapo huwa mbuzi wana vunjika sana miguu upana kati ya mbao na mbao ukiwa mkubwa sana, uanagalie upuepo unapo tokea ili usiweke madirisha makubwa sana upepo mwingi huwasumbuwa wakati wa usiku wanapo lala.
Utengeneze banda la pemebenikwaajili ya wajukuu kupumzika hasa wakati wa mama wamaekwenda malishoni.uweke sehemu itakayo kuwa rahisi kutoa samadi kila utakapo kusafisha banda maana nijambo la umuhimu sana ktkl malezi ya mbuzi.