Wawekezaji wa kichina wakaidi amri ya viongozi wa Uganda na kuanza kupigana

Wawekezaji wa kichina wakaidi amri ya viongozi wa Uganda na kuanza kupigana

MALCOM LUMUMBA

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2012
Posts
21,113
Reaction score
65,124
Wawekezaji wa kichina walipigwa marufuku na Serikali ya Uganda kuhusu kuchimba mchanga bila ruhusa. Sasa viongozi wakafanya ziara ya kustukiza kwenye mgodi huo na kukuta hao wachina wamekaidi amri ya Serikali.

Lakini sasa baada ya kupiga marufuku wachina wakamvaa mwilini na kuanza kumkwida. Nikasema kama hawakupenda hiyo amri au wanahisi kuonewa kwanini wasingeenda mahakamani ???

Na kwanini Wachina wanapata ujasiri wa kujifanyia wanachotaka hapa barani kwetu ???

Nijuavyo mimi Wachina wakiwa kwao hawawezi kabisa kuwa na jehuri ya kubishana na vyombo vya dola...

Lakini huu ujehuri wanautoa wapi ???

Hivi sisi tunaojifanya ni wajamaa tunaweza kuwaambia chochote hawa Wachina ???
Tena walivyojaa hapa nchini kuanzia jeshini, hatujauza uhuru wetu kweli ??
 
Huu upuuzi wa kuendelea kutukuza hizi ngozi ndio unafanya wanazidi kutuona wajinga.

I wish I could be there aiseee Kichwa Kimoja tu kingeamua huo ugomvi, kuendelea kukumbatia hawa watu kisa tuna vihela vyao ni ujinga.
Kipindi cha utawala wa Raisi Jakaya walikuwa wanapita Airport bila kukaguliwa na zilikuwa zinapigwa simu kutoka magogoni kwamba waacheni wapite hao ni ndugu zetu. Kiufupi hii ndiyo sera iliyokuwepo tokea kipindi cha Nyerere, nchi imeuzwa hii: UMASIKINI NI KITU KIBAYA SANA.
 
wenyew wanasema wachina ndio marafiki zetu wa kweli
Waafrika sijui lini tutakujaga kuwa na akili timamu.
Yaani kuna kitu hakikosawa kwetu hapa, yani urafiki na mtu anayekudukua na kuiba rasilimali ??
 
Waafrika sijui lini tutakujaga kuwa na akili timamu.
Yaani kuna kitu hakikosawa kwetu hapa, hivi Tanzania tuko salama kweli ??
mi huwa naamini hakuna mtu mwenye nia ya kuisaidia africa kila mtu yupo kwa maslah yake tu saa km cc wnyw hatujitambui tutaendelea tu kunyonywa na kunyanyaswa, alifny hvyo mzungu na sasa mchina anafny hvyohvyo ila kwa njia tofauti, kama viongoz wetu hawatabadilika kimtazamo hakuna kitachobadilika tutaendelea kudharaulika tu, maendeleo africa yataletwa na mwafrika mwnyw cku akiamka toka kwe usingiz wake
 
Waafrika sijui lini tutakujaga kuwa na akili timamu.
Yaani kuna kitu hakikosawa kwetu hapa, yani urafiki na mtu anayekudukua na kuiba rasilimali ??
sasa km rais mwnyw hahehimu wala kujali wananchi wake mtu wa nje atawaheshimu mkuu? hawa wachina wana nidhamu sana wakiwa kwao ila wanayoyafny huku kwetu ni aibu, kiufupi hawa watu weupe wanatudharau sana aisee
 
mi huwa naamini hakuna mtu mwenye nia ya kuisaidia africa kila mtu yupo kwa maslah yake tu saa km cc wnyw hatujitambui tutaendelea tu kunyonywa na kunyanyaswa, alifny hvyo mzungu na sasa mchina anafny hvyohvyo ila kwa njia tofauti, kama viongoz wetu hawatabadilika kimtazamo hakuna kitachobadilika tutaendelea kudharaulika tu, maendeleo africa yataletwa na mwafrika mwnyw cku akiamka toka kwe usingiz wake
Tena binafsi nahisi Uchina ni hatari kuliko hata mzungu,
 
Kipindi cha utawala wa Raisi Jakaya walikuwa wanapita Airport bila kukaguliwa na zilikuwa zinapigwa simu kutoka magogoni kwamba waacheni wapite hao ni ndugu zetu. Kiufupi hii ndiyo sera iliyokuwepo tokea kipindi cha Nyerere, nchi imeuzwa hii: UMASIKINI NI KITU KIBAYA SANA.
Acha uwongo juu ya nchi kuuzwa ni uwongo uliopitilza walahi!
Kuwa na aibu kijana mdogo!
 
Back
Top Bottom