Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwao huwezi kukuta wanafanya ujinga kama huu, polisi wao ni makatiri sana.sasa km rais mwnyw hahehimu wala kujali wananchi wake mtu wa nje atawaheshimu mkuu? hawa wachina wana nidhamu sana wakiwa kwao ila wanayoyafny huku kwetu ni aibu, kiufupi hawa watu weupe wanatudharau sana aisee
Kibadachi! Huh.Bwahahahahahahha,
Umenikumbusha mbali sana Mawashgeli, Yokogeli, Chudanzuke.
That’s true lakini hakuna watu wenye mapembe kama Watanzania walahi!Tena binafsi nahisi Uchina ni hatari kuliko hata mzungu,
Tena kama wewe hivi naweza kubadilishana nao na kibakuli cha SUSHI au hata bure kabisa nawapa.Acha uwongo juu ya nchi kuuzwa ni uwongo uliopitilza walahi!
Kuwa na aibu kijana mdogo!
Wana bahati hao wachina wako Uganda ingekuwa ni hapa hakika tungewafanya kitoweo walahi!Ivi Kwa nn wasingezima camera zao. Wakawapiiiiiga nusu kuwauwa. Inakera sana
may be, but hawa watu wapo kwa maslahi yao tu hili viongozi wetu lazima walitambue, tulishapoteza mda mwngi sana na wazungu sasa naona tunaelekea kupoteza mda mwng na mchina, kesho na keshokutwa tutastuka mchina nae ni mwizi tutakimbilia kwa muhindi, wenzetu wa Asia wameshaanza stuka malysia, myanmar na sasa imran khan naye anareview mikataba yao na wachina ili kuhakikisha inakuwa na usawa, sasa najiuliza kama mataifa km pakistan na malysia nayo yamechezewa na foul na china mataifa ya africa itakuwaje hasa ndugu zetu ethiopia na wakenya? bora sisi japokuwa tuna matatizo yetu ila kdg huwa hatukurupuki moja kwa mojaTena binafsi nahisi Uchina ni hatari kuliko hata mzungu,
Kweli wewe superwoman.Ivi Kwa nn wasingezima camera zao. Wakawapiiiiiga nusu kuwauwa. Inakera sana
Hahahaha nakaa nao na kufanya biashara nao nyingi tu!Tena kama wewe hivi naweza kubadilishana nao na kibakuli cha SUSHI au hata bure kabisa nawapa.
Well saidmay be, but hawa watu wapo kwa maslahi yao tu hili viongozi wetu lazima walitambue, tulishapoteza mda mwngi sana na wazungu sasa naona tunaelekea kupoteza mda mwng na mchina, kesho na keshokutwa tutastuka mchina nae ni mwizi tutakimbilia kwa muhindi, wenzetu wa Asia wameshaanza stuka malysia, myanmar na sasa imran khan naye anareview mikataba yao na wachina ili kuhakikisha inakuwa na usawa, sasa najiuliza kama mataifa km pakistan na malysia nayo yamechezewa na foul na china mataifa ya africa itakuwaje hasa ndugu zetu ethiopia na wakenya? bora sisi japokuwa tuna matatizo yetu ila kdg huwa hatukurupuki moja kwa moja
HahahahaKweli wewe superwoman.
Yule boya wa kichina alitakiwa atemeshwe ngese.
Ateme nyekundu tupu uso uumuke kama kameza baking powder.
Analeta dharau nchi ya watu!
HahahahaTena kama wewe hivi naweza kubadilishana nao na kibakuli cha SUSHI au hata bure kabisa nawapa.