Masamila
JF-Expert Member
- Jun 22, 2014
- 6,490
- 7,422
Kwa kweli bei ya sukari hapa TZ sio fair kweli mtu tununue kg kwa zaidi ya dola moja ya kimarekani na ukizingatia nchi yetu ilivyo na utajiri wa ardhi kubwa na mvua maeneo yote
Anyway dodoso kuhusu fursa zao la Sugar beet, hili zao linastawi nyanda za juu kwenye baridi na milimani milimani huko. Kinachonivutia hasa katika zao hili ni jinsi linavyozaa sana kuliko miwa ambayo tunaitegemea kuzalisha sukari yetu.
Zao hili linazaa sana na mavuno yake ni zaidi ya tani 20 kwa ekari moja. Tuna maeneo mengi sana yamebaki kutumika kuzalishia mkaa tu yangelimwa hili zao
Zao hili linazalisha sukari kuliko miwa (miwa ni asilimia 10 hadi 15 za muwa unaoingizwa kuchakatwa kuishia kuwa sukari wakati zao hili ni kuanzia asilimia 13 hadi 18)
Maeneo ya nyanda za juu kusini , kanda ya kaskazini umasikini haukutakiwa kuwepo kabisa.
Anyway dodoso kuhusu fursa zao la Sugar beet, hili zao linastawi nyanda za juu kwenye baridi na milimani milimani huko. Kinachonivutia hasa katika zao hili ni jinsi linavyozaa sana kuliko miwa ambayo tunaitegemea kuzalisha sukari yetu.
Zao hili linazaa sana na mavuno yake ni zaidi ya tani 20 kwa ekari moja. Tuna maeneo mengi sana yamebaki kutumika kuzalishia mkaa tu yangelimwa hili zao
Zao hili linazalisha sukari kuliko miwa (miwa ni asilimia 10 hadi 15 za muwa unaoingizwa kuchakatwa kuishia kuwa sukari wakati zao hili ni kuanzia asilimia 13 hadi 18)
Maeneo ya nyanda za juu kusini , kanda ya kaskazini umasikini haukutakiwa kuwepo kabisa.