Wawekezaji wauza kwa hisa zao kutoka Soko la Hisa la Dar es Salaam (DSE) kutokana na mabadiliko ya bei ambayo hayatabiriki

Wawekezaji wauza kwa hisa zao kutoka Soko la Hisa la Dar es Salaam (DSE) kutokana na mabadiliko ya bei ambayo hayatabiriki

Aaron

JF-Expert Member
Joined
Nov 18, 2010
Posts
3,019
Reaction score
4,693
Wawekezaji wanauza kwa wingi hisa zao kutoka Soko la Hisa la Dar es Salaam (DSE) kutokana na mabadiliko ya bei ambayo hayatabiriki, na hivyo kuhatarisha uwekezaji wao. Wawekezaji kutoka Benki ya CRDB, Vodacom, Benki ya NMB na TICL ndio wanaongoza kwa kuuza hisa zao.
dar.jpg
 
Swali hilo ukimuuliza kichaa atakwambia walizoea kuiba, sasa kwenye manunuzi ya hisa utaibaje, kweli kichaa ni kichaa
 
Hiyo ya CRDB ilitabirika tangu habari za Kimei kuondoka zilipoanza. Watch this bank. Nilimsikia juzi CEO mpya akiongea mara ya kwanza na nikamuona ni mwanasiasa sana.
 
Back
Top Bottom