Poppy Hatonn
JF-Expert Member
- Apr 9, 2021
- 3,095
- 4,632
Jana,katika Mkoa wa Rukwa watu wawili wameuawa kwa kupigwa radi walipokuwa shambani baada ya mvua kunyesha kidogo mchana kweupe.
Shuhuda mmoja wa hili tukio amesema,"Kama yupo mtu yoyote aliyefanya hiki kitendo,anapaswa kuona aibu. Angalia watu wote hawa wanavyolia!"
Waliokufa ni mama na mtoto wake.
Huko radi ni jambo la kawaida sana, maeneo ya Mbeya, Kagera,Njombe,Iringa,Rukwa,Ruvuma nk Radi ya kuua ni jambo la kawaidakwani watu hawawezi kufa mpaka kwa mazingaombwe?
Inapiga huku jua linawaka!Jua Kali na radi wapi na wapi
Sayansi za Huko rukwa zipo juu mnoInapiga huku jua linawaka!
Wapo Kibondo Kigoma. Nikuunganishe nao?Kungekuwa na mtu ana uwezo huu, ningemlipa awapunguze hawa kijani na njano.