Mimi nawashangaa ,siwaelewiNgoma kali mno hii haijawahi kutokea, japo najua wapo waliojiandaa kuHATE kitu hata kama hwajakisikia!!
Ebu toayako tuiskie au unaandika tu kwavile vidole ni vyakoBaada ya kutuhumiwa kwamba anabebwa, sasa kakurupuka na kutuletea ngoma mbovu inayokwenda kwa jina la waya
Kiukweli hii ngoma haitakua na maisha marefu katika game hii yenye ushindani mkubwa yaani labda aendelee kubebwa!
Namshauri ajitafakari na akajipange upya huenda kweli anabebwa!
=============================================
Ile beat yake syo mchezo Lufa hatari kwan Nah real nani..TATZO KAMKIMBIA PRODUCER WAKE NAH REAL
Darassa amebadilisha sana fikra na asusa ya muziki kwa watanzania. Hilo halina ubishi. Kila wimbo unaotolewa kipindi hiki unabidi ujipange la sivyo unazusha marumbano na utakosolewa sana. Watetezi wako watatumia nguvu kubwa sana kukutetea. Cha msingi wanabongo fleva wanatakiwa waongeze ubunifu, walaji kuna kitu wanahitaji tofauti na mazoea yaliyokuwepo zamani.DARASA bado kateka akili za watu
Acha maneno weka Musiki
Wewe in hater unajificha kwenye kichaka cha big fanMkuu...isije ikawa wewe umeyaandika hayo kishabiki,
I'm a big fan of JOH na sio hater....na zaidi sio namdis yeye....naudis huu wimbo na aliyeproduce.
Ni kweli kuna mahali amechana pia ila:-
Wewe kama unajua ngoma za Joh Makini, hii unaikubali haswaa kwa 100% ?
Hebu tuambie association ya neno "Waya" na aliyoimba na kuchana.
Yani msanii wa rap akitumia beat ya dance hall anakua ame-underperform?Watu hawataki ukweli kuwa Joh ame under perform
Unajua maana ya sanaa? Au hata fasihi katika SanaaOverrated!
Ngoma aiendani na jina lake
Hahaha kweli kabisa dawa inaingia kwa maumivu lakini ndo tubaKawaida mgonjwa akiwa hatulii na amechachamaa jua dawa imemuingia, sasa haters nawaomba mtulie ili dawa ifanye kazi vizuri. Na nikivuta wayaaa tayari nishajikoki...
Kila mtu anasikia tu joh katoa ngoma mbovu so wanajazana huko kushuhudiaHivi unadhani Joh alikua hana nyimbo mpaka huyo Killer alivyoongea upuuzi ndiyo akatoa nyimbo?
Katazame number 1 trending kwenye you tube ni nani.
Umetumia kipimo gani kupima?Watu hawataki ukweli kuwa Joh ame under perform
Mimi perfect combo nilielewa sana halafu perfect combo kaitengeneza prod wa kenya jina nimemsahau origin yake ni burundi sio lufa.Hizi nyimbo mbili perfect combo na hii zimemshusha vyeo!
Si vibaya akirudi hata kwa Pancho latino
Ww tattizo lako hitaki ukweli acha ukweli usemwe mbona wati wasidis kamosabe ya fid q wadiss tu huo wayaMkuu, kama wewe siyo hater tu basi weka hoja zako clear ueleweke.
1. Unasema hajachana? Uongo. Kuchana kachana na kuimba kaimba hook na bridges.
2. Nini kimekukwaza kwenye production.? Producer kafanya nini kinachoshabihiana na mtu anayesinzia?
3.Kuhusu wimbo kuitwa 'waya', hebu tuambie wewe umeelewa kwamba wazo kuu la Hii wimbo ni nini?
4.Taja mifano halali ya hicho kiingereza kibovu kilichotumika kwenye hiyo ngoma.