Betri yenye chaji
JF-Expert Member
- Dec 27, 2012
- 743
- 642
We dogo kuwa na nidhamu!Asee nilisoma coments kabla sijasikiliza nyimbo, ni nyimbo nzuri sana,
Pia nasikitishwa na vilaza wanaodai hamna conection ya neno waya na mashairi, pengine hamjasikiliza nyimbo umeishia kufuata mkumbo na kucoment, toka nimeisakinisha nimeisikiliza zaidi ya mara 15
Hujui muziki so sio kosa lako,au ni mfuasiAsee nilisoma coments kabla sijasikiliza nyimbo, ni nyimbo nzuri sana,
Pia nasikitishwa na vilaza wanaodai hamna conection ya neno waya na mashairi, pengine hamjasikiliza nyimbo umeishia kufuata mkumbo na kucoment, toka nimeisakinisha nimeisikiliza zaidi ya mara 15