Waya: Ngoma mpya ya Joh Makini mbaya kuliko zote toka kwake

HIYO NI LAANA YAKUMKIMBIA PRODUCER WAKE NAH REAL

Hakuna laana bali kukosa umakini tu. Wasanii kubadilisha watayarishaji muziki ni kawaida. Nadhani mafanikio aliyopata yamemlevya, otherwise angewasikilizisha wadau hiyo ngoma, angeepuka hizi aibu.

Kuimba vibaya ni kitu kimoja, kutumia lugha usiyoiweza bila ulazima ni upumbavu.
 
Kazingua alivyoimba ni bora angemuweka msanii aimbe kolas kajitahidi mana mshindan wake katóa nyimbo inaitwa nyimbo inaitwa kemosabe aeleweki fid mwisho wa siku kúishia kusifiwa tú na wahun
 
Acha uchawi were nyimbo mbona nzuri tu na itafanya vizuri, John making amejaribu radha nyingine music tofauti na tulivyomzoea
Ni kitu kizuri
Acha uzush kusifia vitu vya ajabu,, nyimbo n mbovu sana,,, sasa anaimba nn kuna nyimbo kali zaid ya hii aliyotoa joh lakin azipat airtime.... Nyimbo ya songa feat jay moe mwendo tu,, n nyimbo kubwa sana lkn hazina airtime ila hawa wasanii wa media ndo wanapata airtime kwenye radio yao... Ukwel tuache watu waseme na tuache kushabikia kwa mapenz ya mtu bila kutathimin kaz yake ina ubora kias gan..
 
Kazingua alivyoimba ni bora angemuweka msanii aimbe kolas kajitahidi mana mshindan wake katóa nyimbo inaitwa nyimbo inaitwa kemosabe aeleweki fid mwisho wa siku kúishia kusifiwa tú na wahun
Kemosabe ilitoka tangu 2015 mkuu!
Ila video yake ndio imekuja mwaka huu
 
Mkuu hip hop haiimbwi, hip hop ni utamaduni.

Unaposema eti "wanaimba hip hop gani" unakosea sana hamna kitu kama hicho.
 
[emoji23] [emoji23] yani unafananisha dab music ya kina songa na ngoma kali kama hii alafu unasema joh anabebwa?
 
Mkuu hip hop haiimbwi, hip hop ni utamaduni.

Unaposema eti "wanaimba hip hop gani" unakosea sana hamna kitu kama hicho.
kuna movie inaitwa straight outta compton itafute hii movie ndo utajua hiphop ni utamaduni au kuimba iangalie vzr sana ndo utajua unavyosema ni utamaduni na c kuimba co kweli...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…