Waya: Ngoma mpya ya Joh Makini mbaya kuliko zote toka kwake

Waya: Ngoma mpya ya Joh Makini mbaya kuliko zote toka kwake

HIYO NI LAANA YAKUMKIMBIA PRODUCER WAKE NAH REAL

Hakuna laana bali kukosa umakini tu. Wasanii kubadilisha watayarishaji muziki ni kawaida. Nadhani mafanikio aliyopata yamemlevya, otherwise angewasikilizisha wadau hiyo ngoma, angeepuka hizi aibu.

Kuimba vibaya ni kitu kimoja, kutumia lugha usiyoiweza bila ulazima ni upumbavu.
 
Kazingua alivyoimba ni bora angemuweka msanii aimbe kolas kajitahidi mana mshindan wake katóa nyimbo inaitwa nyimbo inaitwa kemosabe aeleweki fid mwisho wa siku kúishia kusifiwa tú na wahun
 
Acha uchawi were nyimbo mbona nzuri tu na itafanya vizuri, John making amejaribu radha nyingine music tofauti na tulivyomzoea
Ni kitu kizuri
Acha uzush kusifia vitu vya ajabu,, nyimbo n mbovu sana,,, sasa anaimba nn kuna nyimbo kali zaid ya hii aliyotoa joh lakin azipat airtime.... Nyimbo ya songa feat jay moe mwendo tu,, n nyimbo kubwa sana lkn hazina airtime ila hawa wasanii wa media ndo wanapata airtime kwenye radio yao... Ukwel tuache watu waseme na tuache kushabikia kwa mapenz ya mtu bila kutathimin kaz yake ina ubora kias gan..
 
Kazingua alivyoimba ni bora angemuweka msanii aimbe kolas kajitahidi mana mshindan wake katóa nyimbo inaitwa nyimbo inaitwa kemosabe aeleweki fid mwisho wa siku kúishia kusifiwa tú na wahun
Kemosabe ilitoka tangu 2015 mkuu!
Ila video yake ndio imekuja mwaka huu
 
Mimi hiphop ya ckuiz c ielewi kabisa yani cjui wanaimba hiphop gani mm kiukweli nashindwa ielewa..

Ivi hiphop ku determine kama hii ngoma ni hiphop ni mdundo wa iyo nyimbo au mashairi ya yaliyo ndani na jinsi ya uyo msanii anavyo imba kufoka au vp mana hata rege huwa wanafoka even mziki wa dansi??mana joh makin mm naona kama anaimba bongofreva michano na c hiphop.

hiphop walioimba miaka ya 90s kwa wasanii wa bongo kama sugu,wale washikaji wa chuga wale nishawasahau mda mrefu sana tofauti kwa mfano pia ukiangalia hata kwa wasanii wa marekani wa hiphop kipindi cha nyuma kama wakina Ice cube,easy E,dr dre,common,erick b,nought by nature,public enemy wale wakina careless one,2pac,b.i.g natorious ,snoop walikuwa wanafanya hiphop kweli yani hata nyimbo ukiangalia ukisikiliza ni ya kihophop kweli.

ila awa wa kina johmakini cjui ney wa mitego nikiwapili g walawala ivi wanaimba hiphop au ni style gani ya mziki wanayofanya nashindwa waelewa kwakweli mtu anapiga piga makelele tuu kiukweli kwa bongo mm watu wanaimba hiphop naona wakuhesabika kama sana yani ckuiz coni radha ya hiphop ya miaka ile ya 90s dah nimemiss sana ile hiphop...
Mkuu hip hop haiimbwi, hip hop ni utamaduni.

Unaposema eti "wanaimba hip hop gani" unakosea sana hamna kitu kama hicho.
 
Acha uzush kusifia vitu vya ajabu,, nyimbo n mbovu sana,,, sasa anaimba nn kuna nyimbo kali zaid ya hii aliyotoa joh lakin azipat airtime.... Nyimbo ya songa feat jay moe mwendo tu,, n nyimbo kubwa sana lkn hazina airtime ila hawa wasanii wa media ndo wanapata airtime kwenye radio yao... Ukwel tuache watu waseme na tuache kushabikia kwa mapenz ya mtu bila kutathimin kaz yake ina ubora kias gan..
[emoji23] [emoji23] yani unafananisha dab music ya kina songa na ngoma kali kama hii alafu unasema joh anabebwa?
 
Mkuu hip hop haiimbwi, hip hop ni utamaduni.

Unaposema eti "wanaimba hip hop gani" unakosea sana hamna kitu kama hicho.
kuna movie inaitwa straight outta compton itafute hii movie ndo utajua hiphop ni utamaduni au kuimba iangalie vzr sana ndo utajua unavyosema ni utamaduni na c kuimba co kweli...
 
Back
Top Bottom