Waya: Ngoma mpya ya Joh Makini mbaya kuliko zote toka kwake

Am gonna holla at cha. Mleta mada pamemchanganya hapo[emoji12] [emoji12]
 
nmeusikiliza
ngoma nzuri kwa upande wangu[emoji179][emoji179][emoji179][emoji179][emoji179][emoji179][emoji179][emoji179]
ngoma flank hivi ya Swagga[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
ametisha Kama kawaida
 
Ni mbovu kweli kweli,iko kimtaa zaid not international
 
haja produce Nahrel ndio maana
 
Honestly niliacha kusikiliza hata verse ya kwanza ilikuwa haijaisha....
Kuna nyakati hata wababe huwa wanaanguka ila wanainuka na kuendelea na safari.
Am still waiting for the real Joh not this one
 
Sidhani kama unamfahamu Joh Makini Katika nyimbo 3 kali za JohMakini hakuna hata mmoja uliotengenezwa na Nahreeel
wewe utakuwa hujui muziki kabisaa STIMU ZIMELIPIWA ndo wimbo uliompatia tuzo Joah makini na ulitengenezwa na Nah real kipindi hayupo bongo halafu unaanzaje kusema Nah real hana hit song kwa Weusi au nikutajie orodha za nyimbo
 
Mm ni shabiki mkubwa wa Joh

Na sijawahi kuamini kuwa Joh ana anabebwa kabisa yaani....Siku zote namuweka Joh nyuma ya Fid Q.

Sijawahi kumlaumu baada ya ku-change flow kutoka enzi za Mfalme mpaka nusu nusu namuona Joh yule yule mtafutaji.

Sikuielewa perfect combo ila hii sijailewa zaidi....Muunganiko wa Joh Na Luffa sio Muunganiko mzuri Luffa hajawahi kufanya ngoma yoyote ya Hip Hop ikawa kali.

Ni wakati wa Joh kurudi kwa Nahreal au kufanya ngoma tena Na Dunga...Ndio Joh anabadilika kufata soko Na sio kitu kibaya kibiashara ila kwa wimbo huu hapana Joh anatutoa relini.
 
Labda kuna haja ya nyimbo zianze kupitia TBS kabla ya kwenda MEDIA
 
Joah makini ndiyo nani?

Horodhesha hits song zake zote kama 30 hivi alafu mbele ya kila nyimbo andika jina la producer wa nyimbo husika utawajua maproducer wote wanafanya kazi na Joh Makini.

Another hit song kutoka kwa Joh makini the mwamba.
hujui muziki wewe bora ukae kimya tu
 
Hizi nyimbo mbili perfect combo na hii zimemshusha vyeo!
Si vibaya akirudi hata kwa Pancho latino
 
kuna wanaojua mziki mzuri na mashabiki wa mziki,mashabiki wa mziki ndio wale wakisikiliza kila ngoma ya diamond wanasema ni nzuri bila hata kujua uzuri wake uko wapi ila kwakua kaimba diamondi basi ni nzuri,lakini kuna wale ambao wakisikia ngoma ya AJE ya kiba au NISAMEHE YA KIBA NA BARAKA Utawaona wanavyotibgisha vichwa kwa kunogewa na beats na lyrics kali za Baba KIDOTI.ile ngoma producer ni lufer,sikiliza midundo alafu mwangalie mwamba wa kaskazini anavyochana utaujua utamu wa ile ngoma,sikiliza mara mbili tatu,usikurupuke utasikia lile dude lilivyokali nakuhakikishia.FUATILIA TOP TWENTY YA CLOUDS UTAONA LINAVYOTRENDS
 
wewe utakuwa hujui muziki kabisaa STIMU ZIMELIPIWA ndo wimbo uliompatia tuzo Joah makini na ulitengenezwa na Nah real kipindi hayupo bongo halafu unaanzaje kusema Nah real hana hit song kwa Weusi au nikutajie orodha za nyimbo
Again katika track 3 bora za Joh Makini hakuna hata mmoja uliotengenezwa na Nahreel,Inawezekana bado ulikuwa unanyonya

Hao
Ufalme
Karibu Tena
Zamu Yangu
Bye Bye
Popote Chochote
Manuva

Halafu usichangenye track za weusi na Joh Makini,Nahreel amefanya track nyingi za Weusi
 

huyu dogo ameanza kusikiliza mziki juzi enzi za kina Bilnas.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…