Waya: Ngoma mpya ya Joh Makini mbaya kuliko zote toka kwake

Waya: Ngoma mpya ya Joh Makini mbaya kuliko zote toka kwake

JF kuna tabia moja yani wachangiaji wakwanza wakianza kuponda basi ni kuponda mwanzo mwisho
Kumbe umegundua ee, watu wengi mi wafuata mkumbo hawawezi kujaji kwa utashi wao, si ajabu hata hao wanaoponda hawajausikia wimbo
 
Ni wa kawaida !,5/10,,video na audio vinapishana!yaani mdomo unachelewa Ama kuwahi hi kutamka ,!sijaeleweka !nimeshindwa kuelezea vizuri
 
Baada ya kutuhumiwa kwamba anabebwa, sasa kakurupuka na kutuletea ngoma mbovu inayokwenda kwa jina la waya
Kiukweli hii ngoma haitakua na maisha marefu katika game hii yenye ushindani mkubwa yaani labda aendelee kubebwa!

Namshauri ajitafakari na akajipange upya huenda kweli anabebwa!

=============================================


Kweli huu waya umewakuna wengi, mwamba eeeh wakazie haoo
 
Baada ya kutuhumiwa kwamba anabebwa, sasa kakurupuka na kutuletea ngoma mbovu inayokwenda kwa jina la waya
Kiukweli hii ngoma haitakua na maisha marefu katika game hii yenye ushindani mkubwa yaani labda aendelee kubebwa!

Namshauri ajitafakari na akajipange upya huenda kweli anabebwa!

=============================================




ulitakiwa uweke ukiwa na mawazo huru, bila kuwa biased

wimbo mzuri
 
Mimi hiphop ya ckuiz c ielewi kabisa yani cjui wanaimba hiphop gani mm kiukweli nashindwa ielewa..

Ivi hiphop ku determine kama hii ngoma ni hiphop ni mdundo wa iyo nyimbo au mashairi ya yaliyo ndani na jinsi ya uyo msanii anavyo imba kufoka au vp mana hata rege huwa wanafoka even mziki wa dansi??mana joh makin mm naona kama anaimba bongofreva michano na c hiphop.

hiphop walioimba miaka ya 90s kwa wasanii wa bongo kama sugu,wale washikaji wa chuga wale nishawasahau mda mrefu sana tofauti kwa mfano pia ukiangalia hata kwa wasanii wa marekani wa hiphop kipindi cha nyuma kama wakina Ice cube,easy E,dr dre,common,erick b,nought by nature,public enemy wale wakina careless one,2pac,b.i.g natorious ,snoop walikuwa wanafanya hiphop kweli yani hata nyimbo ukiangalia ukisikiliza ni ya kihophop kweli.

ila awa wa kina johmakini cjui ney wa mitego nikiwapili g walawala ivi wanaimba hiphop au ni style gani ya mziki wanayofanya nashindwa waelewa kwakweli mtu anapiga piga makelele tuu kiukweli kwa bongo mm watu wanaimba hiphop naona wakuhesabika kama sana yani ckuiz coni radha ya hiphop ya miaka ile ya 90s dah nimemiss sana ile hiphop...

wanafanya kulingana na soko mkuu

hipo hop watu wa rufiji, kyela na ngara wapi na wapi? nani alishakuwa mtumwa au activist?

hiphop imekuwa customized, u want hardcore hiphop...sio Tanzania, waliofanya wote enzi hizo hapa nchini ni maskini wakutupwa

relax
 
[emoji23] [emoji23] Haters bhana, Walitegemea kusikia Joh anamjib Young K, Mwisho wa siku kapiga Wayaaa wapinzani wanababaika.

NB: Joh alishawahi sema hana kawaida ya kurudia mambo hizo 'Hipapu' unazo ziita Hardcore au zakuelimisha ameshazifanya zote sasahivi anafanya vitu vipya TU.
 
Back
Top Bottom