uttoh2002
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 17,060
- 32,400
Una ugomvi na jamaa?
Baada ya kutuhumiwa kwamba anabebwa, sasa kakurupuka na kutuletea ngoma mbovu inayokwenda kwa jina la waya
Kiukweli hii ngoma haitakua na maisha marefu katika game hii yenye ushindani mkubwa yaani labda aendelee kubebwa!
Namshauri ajitafakari na akajipange upya huenda kweli anabebwa!
=============================================