Sikiliza tu huu utitiri wa redio za wakristo usikie vituko kama si vichekesho. Shetani na mapepo yanaogopwa na kutajwa mara nyingi kuliko Mungu.
Wanabwabwaja usiku na mchana mpaka sauti zao zimeharibika. Wewe pepo, wewe jini, achia ,achia, kwa jina la Yesu!
Hao Wayahudi ambao wakristo wanawalaumu kwa kumkataa Yesu, ambao ndio wao Mungu alinena nao kwanza hawana upumbavu huu.
Wanamuelewa shetani ni nani. Wakristo kwa hilo wamefeli kabisa. Shetani wanamuona kila mahali kuliko wanavyomuona Mungu. Tuondoleeni hii aibu.
Mnajidhalilisha mbele ya kiumbe ambacho Mungu akisema zimika kinazimika. Imani yenu iko wapi?
Shetani ni malaika na hawezi kufanya jambo isipokuwa kwa ridhaa ya Mungu. Kumbukeni hadithi ya Ayubu.
Wanabwabwaja usiku na mchana mpaka sauti zao zimeharibika. Wewe pepo, wewe jini, achia ,achia, kwa jina la Yesu!
Hao Wayahudi ambao wakristo wanawalaumu kwa kumkataa Yesu, ambao ndio wao Mungu alinena nao kwanza hawana upumbavu huu.
Wanamuelewa shetani ni nani. Wakristo kwa hilo wamefeli kabisa. Shetani wanamuona kila mahali kuliko wanavyomuona Mungu. Tuondoleeni hii aibu.
Mnajidhalilisha mbele ya kiumbe ambacho Mungu akisema zimika kinazimika. Imani yenu iko wapi?
Shetani ni malaika na hawezi kufanya jambo isipokuwa kwa ridhaa ya Mungu. Kumbukeni hadithi ya Ayubu.