Kandambilimbili
R I P
- Nov 11, 2008
- 782
- 40
Baada ya dada yetu Elizabeth kuchomolewa mjengoni nimeweka nukta na kwafikiria hawa washiriki wa TZ, nimegundua hawa washiiriki wote wana HARUFU YA KIZUNGU ZUNGU.
Hawa WAZUNGU wenu wenye frustration za ndoa na waliodivorce wakapna nyie ndio VIBURUDISHO VYAO watatuletea mabalaaaaa.
Hivi ni kwanini asingeongelea constructive story kuhusu nchi yake? yako mengi tu ukichukulia aliwahi kuwania UMISS LUNDENGA? kama utalii mbona Richard aliinadi sana Zanzibar mpaka Tatiana na Big Brother wakaja kutembea? na hata washiriki wengine waliitamani sana, yeye anaishia tu kutoa stori za Liyumba na jinsi alnavyoongwa magari these are too common kwa nchi zote na HAZILETI SIFA YOYOTE NZURI KWA nchi, yeye alienda kutubomoa au kujenga? mare eeeh kizazi cha zamani cha watanzania hawajui ENGLISH may be KIZAZI KIPYA ndio wanaweza kuongea LUGHA hiyo, wapi bwana weweeee, mchokoze mkapa uone kiingereza chake, wewe mwenyewe utabrooooo
- Mwisho nadhani mmoja wa wazazi wake ni mzungu
- Richard - KAOA MZUNGU.
- Latoya - KAZAA NA MZUNGU
- Elizabeth - ANA BOYFRIEND WA KIZUNGU.
Hawa WAZUNGU wenu wenye frustration za ndoa na waliodivorce wakapna nyie ndio VIBURUDISHO VYAO watatuletea mabalaaaaa.
Hivi ni kwanini asingeongelea constructive story kuhusu nchi yake? yako mengi tu ukichukulia aliwahi kuwania UMISS LUNDENGA? kama utalii mbona Richard aliinadi sana Zanzibar mpaka Tatiana na Big Brother wakaja kutembea? na hata washiriki wengine waliitamani sana, yeye anaishia tu kutoa stori za Liyumba na jinsi alnavyoongwa magari these are too common kwa nchi zote na HAZILETI SIFA YOYOTE NZURI KWA nchi, yeye alienda kutubomoa au kujenga? mare eeeh kizazi cha zamani cha watanzania hawajui ENGLISH may be KIZAZI KIPYA ndio wanaweza kuongea LUGHA hiyo, wapi bwana weweeee, mchokoze mkapa uone kiingereza chake, wewe mwenyewe utabrooooo

