FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
- Thread starter
- #41
Wahindi hawana ujanja kwa Wayemen na washaambiwa wakibeba mzigo wa wayahudi wajuwe meli inatandikwa.Wahindi hufanya kweli kila wakiamua, ona jinsi mazombi yenu hufanywa Hindu extremists are 'hunting down' Muslims, with impunity
Wahindi walijidai kujitutumuwa kupeleka manowari yao kwenda kuikowa meli yaoeli yao iliyoshikwa na wababe wa Kenya ma pirates wakisomali.