Wahindi hawana ujanja kwa Wayemen na washaambiwa wakibeba mzigo wa wayahudi wajuwe meli inatandikwa.Wahindi hufanya kweli kila wakiamua, ona jinsi mazombi yenu hufanywa Hindu extremists are 'hunting down' Muslims, with impunity
Wasaudi wana tofauti gani na mazayuni? Naona huelewi kuwa siasa na lengo lao ni moja, wamejitanuwa ktokea Kuwait huko mpaka wameshaichukuwa Najd na Hejaz yote na robo ya yemen na bado wasaudi waiwania yemen yote, Iraq, Syria na Jordan ziwe zao wagawane na mazayuni ili "dark world", dunia ya kiza iishike vizuri dunia.Hawa Houthi wana historia ya kulipua mabomu Saudi Arabia na hiyo ni mojawapo wa sababu kuu inafanya iwe vigumu kuwapiga.
Ifahamike Marekani huilinda sana Saudi, isingekua kwa Marekani pale Saudi pangekua majivu, sijui hata wafuasi wa ile dini wangekua wanaenda wapi kupiga shetani mawe.
Hapa video ya mojawapo wa matukio ya wao kulipua Saudi Arabia
Wasaudi wana tofauti gani na mazayuni? Naona huelewi kuwa siasa na lengo lao ni moja, wamejitanuwa ktokea Kuwait huko mpaka wameshaichukuwa Najd na Hejaz yote na robo ya yemen na bado wasaudi waiwania yemen yote, Iraq, Syria na Jordan ziwe zao wagawane na mazayuni ili "dark world", dunia ya kiza iishike vizuri dunia.
Wewe unafurahia dunia iongozwe na watu wa kiza kama kina papa.
Juzi Wayemeni wameshasema, njia walizofunguwa Saudi Arabia za mazayuni kupitisha kwa magari mizigo yao, nazo zote ni target ya Wayemeni.
Wasaudi si ndio alikotoka yule mungu wako na ndipo huwa mnakwenda kupiga shetani mawe......hehehe bahati yenu Marekani amepalinda ila mngekua mumepalipua ndio ujue hamuna akili, kazi kujilupia lipua.
Qur'an 50:16. Na hakika tumemuumba mtu, nasi tunayajua yanayo mpitikia katika nafsi yake. Na Sisi tuko karibu naye kuliko mshipa wa shingoni mwake. 16