Wayne Rooney sees pre-season trip to Tanzania as perfect way to get to know Everton team-mates

Wayne Rooney sees pre-season trip to Tanzania as perfect way to get to know Everton team-mates

Ningekuwa raid ningewaalika Everton ikulu kutengeneza mazingira ya kuwekeza kwenye mpira bongo
 
Viwanja vibovu na saa hii tunahost IAAF for 5 days. 135 countries participating. 5000 direct 'tourists'.
Nikumbushe, Tanzania imehost competition gani ya kimataifa? (Global)

Akili yako imejaa chang'aa tunazungumzia viwanja vya mpira wa miguu ,we unazungumzia mazulia ya kukimbia riadha .

Natanguliza pole zangu kwa hao wageni na mashabiki watakaokwenda kukalia mabenchi ya zege yaliyopakwa rangi za bucha pale Kasarani.

Zambia mnawaona maskini lakini pia wamewashinda kuwa na uwanja mzuri na wa kisasa. Nyie endeleeni kupaka rangi za safaricom zege za kasarani kama viwanja vya Somalia
 
Akili yako imejaa chang'aa tunazungumzia viwanja vya mpira wa miguu ,we unazungumzia mazulia ya kukimbia riadha .

Natanguliza pole zangu kwa hao wageni na mashabiki watakaokwenda kukalia mabenchi ya zege yaliyopakwa rangi za bucha pale Kasarani.

Zambia mnawaona maskini lakini pia wamewashinda kuwa na uwanja mzuri na wa kisasa. Nyie endeleeni kupaka rangi za safaricom zege za kasarani kama viwanja vya Somalia

Mhenga Sida Kalori aliimba "Wenye wivu wajinyonge"
upload_2017-7-12_9-40-48.jpeg
 

Attachments

  • upload_2017-7-12_9-40-31.jpeg
    upload_2017-7-12_9-40-31.jpeg
    15.9 KB · Views: 33
David Beckham na familia yake..

Mamadou Sakho na familia yake..

Leon Osman...

Usher Raymond na famila yake...

Kwa uchache hawa ni miongon mwa watu maarufu ambao wameitembelea Tanzania kipindi hiki cha majira ya joto
 
David Beckham na familia yake..

Mamadou Sakho na familia yake..

Leon Osman...

Usher Raymond na famila yake...

Kwa uchache hawa ni miongon mwa watu maarufu ambao wameitembelea Tanzania kipindi hiki cha majira ya joto
Umemsahau Victor Wanyama "Mkata Umeme" akiwa pamoja na marafiki zake
 
Tumia akili aisee! Kwani lazima ujibizane kwa kila jambo hata usilolijua? Ndio, pitch inatumika katika mashindano za riadha. Ndio kwa maana ikaitwa (track & field).
Thank You

Sent from my SM-J105F using JamiiForums mobile app
 
Duh huyu jembe amewasili, aisei hapo Gor Mahia tunawaombea jameni maana sijui.
Alafu tuchape everton Tatu mtungi [emoji38][emoji38]

Sent from my SM-J105F using JamiiForums mobile app
 
Duh huyu jembe amewasili, aisei hapo Gor Mahia tunawaombea jameni maana sijui.
Alafu tuchape everton Tatu mtungi [emoji38][emoji38]

Sent from my SM-J105F using JamiiForums mobile app
 
Duh huyu jembe amewasili, aisei hapo Gor Mahia tunawaombea jameni maana sijui.
But You know Kenyan Footballers for the most part havent played white dominated opposition ....angalia other sports tukishindana na wazungu huwa tunashinda so it may just be our lucky day Gor 3 everton 1 ?No?

Sent from my SM-J105F using JamiiForums mobile app
 
Rooney anakuja TZ kwa hisani ya kampuni ya kenya...otherwise u poor LDCs would have never seen his face...oh NTW, right now, the world under 18 championships are going on in Kasarani stadium Kenya....all countries in the world...wajinga sana hawa watz...Sportpesa ni kampuni ya wapi? Gor Mahia ni timu ya wapi? fikiria
 
But You know Kenyan Footballers for the most part havent played white dominated opposition ....angalia other sports tukishindana na wazungu huwa tunashinda so it may just be our lucky day Gor 3 everton 1 ?No?

Sent from my SM-J105F using JamiiForums mobile app

Gor players just need to focus, they will beat them, I wish I was in Dar to attend the the match. This IAAF thing should have been postponed a little to create room for the match. That way we would have seen a massive turnout of fans.
 
Nyie watu hamtaki shindwa?
Mnajilinganisha kwetu na vimichezo vinavyoangaliwa na watu 70 wakati hii mechi ya Everton imeitangaza Tanzania na watakao angalia ni wengi sana
 
Gor players just need to focus, they will beat them, I wish I was in Dar to attend the the match. This IAAF thing should have been postponed a little to create room the match. That way we would have seen a massive turnout of fans.

Sema huna nauli ya kuja Dar ,yaani hayo mashindano ya riadha ndo yakufanye ushindwe kuja kuangalia football?
 
Nyie watu hamtaki shindwa?
Mnajilinganisha kwetu na vimichezo vinavyoangaliwa na watu 70 wakati hii mechi ya Everton imeitangaza Tanzania na watakao angalia ni wengi sana

Nyie ni wale wale tu, huwa mpo wazembe hamjui hata kujitanganza, nakupa taarifa kwamba hiyo mechi ingetendeka Kenya ndio ungejua ni maana ya kujitangaza. Sisi tunajua jinsi ya kutumia fursa, subiri uone pamoja na kwamba imechezewa kwenu, lakini sie tutabeba msisimko wote na Kenya itatajwa zaidi.
 
Tumia akili aisee! Kwani lazima ujibizane kwa kila jambo hata usilolijua? Ndio, pitch inatumika katika mashindano za riadha. Ndio kwa maana ikaitwa (track & field).
So unataka kumaanisha field ni sawa na pitch? Ama quality ya pitch ya wanariadha ni sawa na ya soccer! [emoji85] [emoji23]

Sent from my SM-J320F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom