Wazalendo ni wachache, wazalendo hawadumu

Wazalendo ni wachache, wazalendo hawadumu

Knuckletouchez

New Member
Joined
May 7, 2021
Posts
3
Reaction score
6
Nimemisi kusikia zile nyimbo za kizalendo na quote za kizalendo kwenye TBC


Mfano kionjo flani tamu kinaimbwagwa hivi:

"Nchi yanguuuh ni urithi wanguuuuh, zawadi ya pekeeeeeeehh, ntaitunzaeeeeeeeeh!"

"Tuchape kazi , tukamenyeke tuijenge nchi yetu tuulinde Uhuru wetu"

"Kila unaponunua kitu dai risiti kuhakikisha kodi yako uliyolipa inafika serikalini"

"Tutajenga nchi yetu kwa jasho letu"



Back in those days, 80% of Tanzanians who were voiceless become louder and confident in their own country

"Mimi ni rais wa wanyonge"

Mkuu wa nchi akifika mahali anauliza shida nini my voiceless people? Assuming ameshasikia sauti za viongozi wengine

Taking down those who humiliated the voiceless people, tumbua hadharani bila nidhamu wale waliowakosea adabu wanyonge,

Ikatengenezeka class ya wanyonyaji/wanyanyasaji V/s class ya wanyonywaji/wanyanuasaji

Wakasema nchi imegawika, kumbe ni laws of nature maji na mafuta hayakai pamoja, uovu na haki haviivi chungu kimoja

Wanasema amelaaniwa aliekuwa anajiita mtetezi wa wanyonge, ndo maana amekufa mapema, naomba niwakumbushe

Hata musa aliewatoa wana waisrael kutoka misri kuwapeleka kaanani hakufika kaanani, na musa alikuwa mtume wa mungu,

#patriots are rare
#patrionts hawadumu


IMG_20210531_003344_929.JPG


Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
 
Nikisoma jina lako nakumbuka yale ya kwenye biblia.

menemene tekeli na pelesi. Yaani ufalme wake ulipimwa akaonekana amepungua hivyo mama samia akachukua kiti.
 
Nimemisi kusikia zile nyimbo za kizalendo na quote za kizalendo kwenye TBC

Mfano kionjo flani tamu hivi kinaimbwagwa hivi

[emoji3498][emoji443]nchi yanguuuh ni urithi wanguuuuh, zawadi ya pekeeeeeeehh, ntaitunzaeeeeeeeeh[emoji443]
Bado kidogo watatambua maji ni yapi na mafuta ni yapi, mimi bado naamini ww ni rais bora kuwai kutokea kwa miongo mitatu katika ukanda wa afrika na kati.rip mimi nahisi vizazi vijavyo watatutukana kwa matusi yote kwa kushindwa kukulinda vyema.rip mwamba
 
Nimemisi kusikia zile nyimbo za kizalendo na quote za kizalendo kwenye TBC

Mfano kionjo flani tamu hivi kinaimbwagwa hivi

[emoji3498][emoji443]nchi yanguuuh ni urithi wanguuuuh, zawadi ya pekeeeeeeehh, ntaitunzaeeeeeeeeh[emoji443]

"Tuchape kazi , tukamenyeke tuijenge nchi yetu tuulinde Uhuru wetu"

"Kila unaponunua kitu dai risiti kuhakikisha kodi yako uliyolipa inafika serikalini"

"Tutajenga nchi yetu kwa jasho letu"

Back in those days, 80% of Tanzanians who were voiceless become louder and confident in their own country

"Mimi ni rais wa wanyonge"
Mkuu wa nchi akifika mahali anauliza shida nini my voiceless people ? Assuming ameshasikia sauti za viongozi wengine

Taking down those who humiliated the voiceless people, tumbua hadharani bila nidhamu wale waliowakosea adabu wanyonge,

Ikatengenezeka class ya wanyonyaji/wanyanyasaji V/s class ya wanyonywaji/wanyanuasaji

Wakasema nchi imegawika, kumbe ni laws of nature maji na mafuta hayakai pamoja, uovu na haki haviivi chungu kimoja

Wanasema amelaaniwa aliekuwa anajiita mtetezi wa wanyonge, ndo maana amekufa mapema, naomba niwakumbushe

Hata musa aliewatoa wana waisrael kutoka misri kuwapeleka kaanani hakufika kaanani, na musa alikuwa mtume wa mungu,

#patriots are rare
#patrionts hawadumuView attachment 1811765

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app

Menemene tekeli na pelesi. Yaani ufalme wake ulipimwa akaonekana amepungua hivyo mama samia akachuku
 
Nimemisi kusikia zile nyimbo za kizalendo na quote za kizalendo kwenye TBC

Mfano kionjo flani tamu hivi kinaimbwagwa hivi

[emoji3498][emoji443]nchi yanguuuh ni urithi wanguuuuh, zawadi ya pekeeeeeeehh, ntaitunzaeeeeeeeeh[emoji443]

"Tuchape kazi , tukamenyeke tuijenge nchi yetu tuulinde Uhuru wetu"

"Kila unaponunua kitu dai risiti kuhakikisha kodi yako uliyolipa inafika serikalini"

"Tutajenga nchi yetu kwa jasho letu"

Back in those days, 80% of Tanzanians who were voiceless become louder and confident in their own country

"Mimi ni rais wa wanyonge"
Mkuu wa nchi akifika mahali anauliza shida nini my voiceless people ? Assuming ameshasikia sauti za viongozi wengine

Taking down those who humiliated the voiceless people, tumbua hadharani bila nidhamu wale waliowakosea adabu wanyonge,

Ikatengenezeka class ya wanyonyaji/wanyanyasaji V/s class ya wanyonywaji/wanyanuasaji

Wakasema nchi imegawika, kumbe ni laws of nature maji na mafuta hayakai pamoja, uovu na haki haviivi chungu kimoja

Wanasema amelaaniwa aliekuwa anajiita mtetezi wa wanyonge, ndo maana amekufa mapema, naomba niwakumbushe

Hata musa aliewatoa wana waisrael kutoka misri kuwapeleka kaanani hakufika kaanani, na musa alikuwa mtume wa mungu,

#patriots are rare
#patrionts hawadumuView attachment 1811765

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app

Yatima hadeki
 
Sasa Hivi Kwa Mama Ndiyo Tonge La Mwisho
Ndiyo Tunakomba Na Mboga Zote!!
Chungu Tunapasua,Jiko Tunamwagia Maji
😁😀😂😄😄😅😅😅😅😆😆😅😅😄😃😂
 
Nimemisi kusikia zile nyimbo za kizalendo na quote za kizalendo kwenye TBC

Mfano kionjo flani tamu hivi kinaimbwagwa hivi

[emoji3498][emoji443]nchi yanguuuh ni urithi wanguuuuh, zawadi ya pekeeeeeeehh, ntaitunzaeeeeeeeeh[emoji443]

"Tuchape kazi , tukamenyeke tuijenge nchi yetu tuulinde Uhuru wetu"

"Kila unaponunua kitu dai risiti kuhakikisha kodi yako uliyolipa inafika serikalini"

"Tutajenga nchi yetu kwa jasho letu"

Back in those days, 80% of Tanzanians who were voiceless become louder and confident in their own country

"Mimi ni rais wa wanyonge"
Mkuu wa nchi akifika mahali anauliza shida nini my voiceless people ? Assuming ameshasikia sauti za viongozi wengine

Taking down those who humiliated the voiceless people, tumbua hadharani bila nidhamu wale waliowakosea adabu wanyonge,

Ikatengenezeka class ya wanyonyaji/wanyanyasaji V/s class ya wanyonywaji/wanyanuasaji

Wakasema nchi imegawika, kumbe ni laws of nature maji na mafuta hayakai pamoja, uovu na haki haviivi chungu kimoja

Wanasema amelaaniwa aliekuwa anajiita mtetezi wa wanyonge, ndo maana amekufa mapema, naomba niwakumbushe

Hata musa aliewatoa wana waisrael kutoka misri kuwapeleka kaanani hakufika kaanani, na musa alikuwa mtume wa mungu,

#patriots are rare
#patrionts hawadumuView attachment 1811765

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
Wanakuita mnyonge, wao wanatembelea na v8 msafara wa magari hata 20, yani gari moja mafuta tu ya siku ni pesa yako ya chakula kwa miezi mitatu.
Halafu na wewe ulivyo lofa unaamini kweli eti sauti yako inasika 😂😂😂.
Kweli uchawi upo afrika. Mtu anafurahia unyonge na umaskini
 
Mama Kesho Ana Jambo Lake Dodoma Na Wakina Mama Tanzania Nzima. 💋👄❤💘
 
Nimemisi kusikia zile nyimbo za kizalendo na quote za kizalendo kwenye TBC

Mfano kionjo flani tamu hivi kinaimbwagwa hivi

[emoji3498][emoji443]nchi yanguuuh ni urithi wanguuuuh, zawadi ya pekeeeeeeehh, ntaitunzaeeeeeeeeh[emoji443]

"Tuchape kazi , tukamenyeke tuijenge nchi yetu tuulinde Uhuru wetu"

"Kila unaponunua kitu dai risiti kuhakikisha kodi yako uliyolipa inafika serikalini"

"Tutajenga nchi yetu kwa jasho letu"

Back in those days, 80% of Tanzanians who were voiceless become louder and confident in their own country

"Mimi ni rais wa wanyonge"
Mkuu wa nchi akifika mahali anauliza shida nini my voiceless people ? Assuming ameshasikia sauti za viongozi wengine

Taking down those who humiliated the voiceless people, tumbua hadharani bila nidhamu wale waliowakosea adabu wanyonge,

Ikatengenezeka class ya wanyonyaji/wanyanyasaji V/s class ya wanyonywaji/wanyanuasaji

Wakasema nchi imegawika, kumbe ni laws of nature maji na mafuta hayakai pamoja, uovu na haki haviivi chungu kimoja

Wanasema amelaaniwa aliekuwa anajiita mtetezi wa wanyonge, ndo maana amekufa mapema, naomba niwakumbushe

Hata musa aliewatoa wana waisrael kutoka misri kuwapeleka kaanani hakufika kaanani, na musa alikuwa mtume wa mungu,

#patriots are rare
#patrionts hawadumuView attachment 1811765

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
Kilichowafanya TBC wasiendelee na nyimbo na matangazo ya kizalendo ni nini? Nchi si bado ipo, au uzalendo wao kama sio unafiki ulikuwa ni juu ya mtu?
 
Wazalendo ni wengi SANA; ila wazalendo kama JPM, wenye ujasiri usioyumba -- wasiowavumilia wabadhirifu, na wasioogopa vitisho butu vya walowezi, mabeberu, mafisadi, walarushwa na wapigaji -- wanahesabika.
 
Watu kama JPM ni wachache sana hapa duniani, wengi wetu ni waoga, wanafiki na waongo.
 
Wanakuita mnyonge, wao wanatembelea na v8 msafara wa magari hata 20, yani gari moja mafuta tu ya siku ni pesa yako ya chakula kwa miezi mitatu.
Halafu na wewe ulivyo lofa unaamini kweli eti sauti yako inasika 😂😂😂.
Kweli uchawi upo afrika. Mtu anafurahia unyonge na umaskini
Na ukifatilia sana hawa wanaoendelea kuomboleza ni wale walokua wanafurahia kina Manji kuhenyeshwa na mwendazake..yaan wale walokua wakiskia Mbowe kaharibiwa mashamba yake....mara amefungiwa akaunt zake..
Lissu kunyimwa stahiki zake..yaan wale wanaofurahia tajiri akinyanysika ndo hizo typ ziko humu balaa! Mtu unaamka huna hata 20000 ya kula lakini ukisikia Manji kawekwa ndani meno njeee...nyoko zao kweli!
 
Back
Top Bottom