fidel castro wapili
JF-Expert Member
- Mar 18, 2017
- 3,497
- 2,911
RIP JPM
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimemisi kusikia zile nyimbo za kizalendo na quote za kizalendo kwenye TBC
Mfano kionjo flani tamu hivi kinaimbwagwa hivi
[emoji3498][emoji443]nchi yanguuuh ni urithi wanguuuuh, zawadi ya pekeeeeeeehh, ntaitunzaeeeeeeeeh[emoji443]
"Tuchape kazi , tukamenyeke tuijenge nchi yetu tuulinde Uhuru wetu"
"Kila unaponunua kitu dai risiti kuhakikisha kodi yako uliyolipa inafika serikalini"
"Tutajenga nchi yetu kwa jasho letu"
Back in those days, 80% of Tanzanians who were voiceless become louder and confident in their own country
"Mimi ni rais wa wanyonge"
Mkuu wa nchi akifika mahali anauliza shida nini my voiceless people ? Assuming ameshasikia sauti za viongozi wengine
Taking down those who humiliated the voiceless people, tumbua hadharani bila nidhamu wale waliowakosea adabu wanyonge,
Ikatengenezeka class ya wanyonyaji/wanyanyasaji V/s class ya wanyonywaji/wanyanuasaji
Wakasema nchi imegawika, kumbe ni laws of nature maji na mafuta hayakai pamoja, uovu na haki haviivi chungu kimoja
Wanasema amelaaniwa aliekuwa anajiita mtetezi wa wanyonge, ndo maana amekufa mapema, naomba niwakumbushe
Hata musa aliewatoa wana waisrael kutoka misri kuwapeleka kaanani hakufika kaanani, na musa alikuwa mtume wa mungu,
#patriots are rare
#patrionts hawadumuView attachment 1811765
Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
Kabisa mkuu yani maana yao ya sauti kusikika ni pale waliposikia mbowe kaharibiwa shamba, tajiri flani makonsa kamweka ndani, biashara flani imekufa basi kwao ndo wanafurahi kweli ile roho ya sote tuwe maskini.😂Na ukifatilia sana hawa wanaoendelea kuomboleza ni wale walokua wanafurahia kina Manji kuhenyeshwa na mwendazake..yaan wale walokua wakiskia Mbowe kaharibiwa mashamba yake....mara amefungiwa akaunt zake..
Lissu kunyimwa stahiki zake..yaan wale wanaofurahia tajiri akinyanysika ndo hizo typ ziko humu balaa! Mtu unaamka huna hata 20000 ya kula lakini ukisikia Manji kawekwa ndani meno njeee...nyoko zao kweli!
Pumbaaaa tupa kuleee kwenye banda la kukubado kidogo watatambua maji ni yapi na mafuta ni yapi, mimi bado naamini ww ni rais bora kuwai kutokea kwa miongo mitatu katika ukanda wa afrika na kati.rip mimi nahisi vizazi vijavyo watatutukana kwa matusi yote kwa kushindwa kukulinda vyema.rip mwamba
KamfufueRIP #JPM
Hero wa maviRIP JPM.THE HERO OF AFRICA.
Hata mfanyaje na mumrembe vipi harembeki ng,'ooooo na kafaaaaa!!!!poleni wasukuma!!!! Mlizoea kubebwaWazalendo ni wengi SANA; ila wazalendo kama JPM, wenye ujasiri usioyumba -- wasiowavumilia wabadhirifu, na wasioogopa vitisho butu vya walowezi, mabeberu, mafisadi, walarushwa na wapigaji -- wanahesabika.
Nimeamka na kuanza kucheka jamani...i.hope siku yangu itakuwa poa bila tashwishwi😉Hero wa mavi
KamfufueWatu kama JPM ni wachache sana hapa duniani, wengi wetu ni waoga, wanafiki na waongo.
SOMA REPLIES ZAKO ZOTE, UTAJUWA KWAMBA KICHWANI KWAKO NAWASIWASI KUNA PUMBAPumbaaaa tupa kuleee kwenye banda la kuku
Kwa hiyo hilo IBILISI lako hapo nalo ni Nabii? Labda nabii wa Baali!!Nimemisi kusikia zile nyimbo za kizalendo na quote za kizalendo kwenye TBC
Mfano kionjo flani tamu kinaimbwagwa hivi:
"Nchi yanguuuh ni urithi wanguuuuh, zawadi ya pekeeeeeeehh, ntaitunzaeeeeeeeeh!"
"Tuchape kazi , tukamenyeke tuijenge nchi yetu tuulinde Uhuru wetu"
"Kila unaponunua kitu dai risiti kuhakikisha kodi yako uliyolipa inafika serikalini"
"Tutajenga nchi yetu kwa jasho letu"
Back in those days, 80% of Tanzanians who were voiceless become louder and confident in their own country
"Mimi ni rais wa wanyonge"
Mkuu wa nchi akifika mahali anauliza shida nini my voiceless people? Assuming ameshasikia sauti za viongozi wengine
Taking down those who humiliated the voiceless people, tumbua hadharani bila nidhamu wale waliowakosea adabu wanyonge,
Ikatengenezeka class ya wanyonyaji/wanyanyasaji V/s class ya wanyonywaji/wanyanuasaji
Wakasema nchi imegawika, kumbe ni laws of nature maji na mafuta hayakai pamoja, uovu na haki haviivi chungu kimoja
Wanasema amelaaniwa aliekuwa anajiita mtetezi wa wanyonge, ndo maana amekufa mapema, naomba niwakumbushe
Hata musa aliewatoa wana waisrael kutoka misri kuwapeleka kaanani hakufika kaanani, na musa alikuwa mtume wa mungu,
#patriots are rare
#patrionts hawadumu
View attachment 1811765
Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
yaani uyo mzee sura yake tu inaonyesha alikuwa mtu wa aina gani, katili ,Nimemisi kusikia zile nyimbo za kizalendo na quote za kizalendo kwenye TBC
Mfano kionjo flani tamu kinaimbwagwa hivi:
"Nchi yanguuuh ni urithi wanguuuuh, zawadi ya pekeeeeeeehh, ntaitunzaeeeeeeeeh!"
"Tuchape kazi , tukamenyeke tuijenge nchi yetu tuulinde Uhuru wetu"
"Kila unaponunua kitu dai risiti kuhakikisha kodi yako uliyolipa inafika serikalini"
"Tutajenga nchi yetu kwa jasho letu"
Back in those days, 80% of Tanzanians who were voiceless become louder and confident in their own country
"Mimi ni rais wa wanyonge"
Mkuu wa nchi akifika mahali anauliza shida nini my voiceless people? Assuming ameshasikia sauti za viongozi wengine
Taking down those who humiliated the voiceless people, tumbua hadharani bila nidhamu wale waliowakosea adabu wanyonge,
Ikatengenezeka class ya wanyonyaji/wanyanyasaji V/s class ya wanyonywaji/wanyanuasaji
Wakasema nchi imegawika, kumbe ni laws of nature maji na mafuta hayakai pamoja, uovu na haki haviivi chungu kimoja
Wanasema amelaaniwa aliekuwa anajiita mtetezi wa wanyonge, ndo maana amekufa mapema, naomba niwakumbushe
Hata musa aliewatoa wana waisrael kutoka misri kuwapeleka kaanani hakufika kaanani, na musa alikuwa mtume wa mungu,
#patriots are rare
#patrionts hawadumu
View attachment 1811765
Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
Wazalendo ni wengi SANA; ila wazalendo kama JPM, wenye ujasiri usioyumba -- wasiowavumilia wabadhirifu, na wasioogopa vitisho butu vya walowezi, mabeberu, mafisadi, walarushwa na wapigaji -- wanahesabika.