Wazalendo tunaoamini TAIFA STARS hawatatoka na point hata moja tukutane hapa

bora watunisia kuliko ww usiyejitambua[emoji124][emoji124][emoji124]
Vita ni nzito, tupigane na ccm na wapuuzi kama ww,tutafika tumechoka[emoji124][emoji124][emoji124]
Kwani maswala ya chama yameingilianaje hapa, wachezaji wavivu na kutokujituma ndo kinachosumbua.
 
Sasa sijui tutengeneze team ya namna gan tukubali tu hawa ndio wachezaji wetu tuliokuwa nao hata tukimleta kocha kutoka mbingun hawafundishiki wachezaji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…