Wazalendo uchwara hii ni awamu ya SAMIALOGY na sio MAGUFULIFICATION

Wazalendo uchwara hii ni awamu ya SAMIALOGY na sio MAGUFULIFICATION

Fukua

JF-Expert Member
Joined
Jun 1, 2022
Posts
546
Reaction score
479
Kazi iendelee.

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜ Hii ni tafsiri ya mtoto wa form one mwaka 2022 huko shule NAMTUMBO

SAMIALOGY ni sera/tawi la sayansi ya uongozi linalojikita zaidi na utoaji wa haki, huduma bora,maridhiano, utawala wa sheria, uwazi na uwajibikaji,ucha Mungu, uzalendo wa kweli na utoaji wa huduma safi za kimaendeleo unaolenga zaidi watu na sio vitu.
Na...

MAGUFULIFICATON ni sera/ TAWI la sanaa ya uongozi lililojikita zaidi katika kuongoza kwa hila, Mateso, mauaji, unyimaji haki, chuki, ukabila, undugulization,uvunjaji wa sheria, kujimwambafy, ukichaa, uzalendo uchwara, na utoaji wa huduma bovu zinazolenga zaidi maendeleo ya vitu na sio watu.

Hili tawi la magufulification linatumiwa au kupendwa sana na viongozi wengi wa kiafrika lakini samialogy ni tawi linalotumiwa zaidi na viongozi wengi wa nchi zilizoendelea.

Watanzania kwa mapenzi ya Mungu sera ya Magufulification iliondoshwa na kufutiliwa mbali nchini kwetu tarehe 17/3/2021 na kusimikwa kwa sera mpya ya SAMIALOGY ambayo tumeipenda, tumeikubali, na tunaitekeleza kwa kushinda.

Niwakumbushe tu wale waimba mapambio, waunga juhudi, sakuma gang, wazalendo uchwara na wafuasi wa sera ya magufulification kwamba sera ya tanzania kwa sasa ni SAMIALOGY, kupingana nayo ni kuwaudhi, na kuwakasirisha watanzania na dunia ya watu wastaarabu, hivyo uungwana ni kuchutama.

Nchi inaendelea kufunguka, tabasamu linarejea upya msitutoneshe vidonda vilivyotokana na sera ya kuzimu ya magufulification, maana ni kuikosea nchi adabu na ni uhaini kwa serikali yetu.

Magufulification acheni kuwashwa washwa mwacheni mama achape kazi, watanzania tuko nyuma yake.
 
Yani huna akili kiasi kwamba haujui Samia ni legacy ya Magufuli?

Au unafikiri legacy ya Magufuli ni madaraja tu, hata watu aliowateua yeye
 
Sasa ndio umuweke hadi DP?

By the way, mfukoni mwako uko na salio kiasi gani?. Nataka 800 nikanunue kipande cha sabuni. Maana hata tabasamu sina. Na hapa natumia internet ya ofcn, nikitoka tu nakuwa offline. Nijibu mapema.
 
Wanaomuenzi magufuli wanawashwa na kero za maendeleo ya nchi hawajafanya baya kutaka maendeleo mnawapiga sana vita bure. Mbaya zaidi kuwashwa bila sababu ya msingi.
 
We naona unasogelea buy la asali la ikulu iendelee kulamba
 
K
Kazi iendelee.

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜ Hii ni tafsiri ya mtoto wa form one mwaka 2022 huko shule NAMTUMBO

SAMIALOGY ni sera/tawi la sayansi ya uongozi linalojikita zaidi na utoaji wa haki, huduma bora,maridhiano, utawala wa sheria, uwazi na uwajibikaji,ucha Mungu, uzalendo wa kweli na utoaji wa huduma safi za kimaendeleo unaolenga zaidi watu na sio vitu.
Na...

MAGUFULIFICATON ni sera/ TAWI la sanaa ya uongozi lililojikita zaidi katika kuongoza kwa hila, Mateso, mauaji, unyimaji haki, chuki, ukabila, undugulization,uvunjaji wa sheria, kujimwambafy, ukichaa, uzalendo uchwara, na utoaji wa huduma bovu zinazolenga zaidi maendeleo ya vitu na sio watu.

Hili tawi la magufulification linatumiwa au kupendwa sana na viongozi wengi wa kiafrika lakini samialogy ni tawi linalotumiwa zaidi na viongozi wengi wa nchi zilizoendelea.

Watanzania kwa mapenzi ya Mungu sera ya Magufulification iliondoshwa na kufutiliwa mbali nchini kwetu tarehe 17/3/2021 na kusimikwa kwa sera mpya ya SAMIALOGY ambayo tumeipenda, tumeikubali, na tunaitekeleza kwa kushinda.

Niwakumbushe tu wale waimba mapambio, waunga juhudi, sakuma gang, wazalendo uchwara na wafuasi wa sera ya magufulification kwamba sera ya tanzania kwa sasa ni SAMIALOGY, kupingana nayo ni kuwaudhi, na kuwakasirisha watanzania na dunia ya watu wastaarabu, hivyo uungwana ni kuchutama.

Nchi inaendelea kufunguka, tabasamu linarejea upya msitutoneshe vidonda vilivyotokana na sera ya kuzimu ya magufulification, maana ni kuikosea nchi adabu na ni uhaini kwa serikali yetu.

Magufulification acheni kuwashwa washwa mwacheni mama achape kazi, watanzania tuko nyuma yake.
Kwanza Ncheke🀣🀣
 
Hili tawi la magufulification linatumiwa au kupendwa sana na viongozi wengi wa kiafrika lakini samialogy ni tawi linalotumiwa zaidi na viongozi wengi wa nchi zilizoendelea
Na waliostaarabika pia
 
Kazi iendelee.

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜ Hii ni tafsiri ya mtoto wa form one mwaka 2022 huko shule NAMTUMBO

SAMIALOGY ni sera/tawi la sayansi ya uongozi linalojikita zaidi na utoaji wa haki, huduma bora,maridhiano, utawala wa sheria, uwazi na uwajibikaji,ucha Mungu, uzalendo wa kweli na utoaji wa huduma safi za kimaendeleo unaolenga zaidi watu na sio vitu.
Na...

MAGUFULIFICATON ni sera/ TAWI la sanaa ya uongozi lililojikita zaidi katika kuongoza kwa hila, Mateso, mauaji, unyimaji haki, chuki, ukabila, undugulization,uvunjaji wa sheria, kujimwambafy, ukichaa, uzalendo uchwara, na utoaji wa huduma bovu zinazolenga zaidi maendeleo ya vitu na sio watu.

Hili tawi la magufulification linatumiwa au kupendwa sana na viongozi wengi wa kiafrika lakini samialogy ni tawi linalotumiwa zaidi na viongozi wengi wa nchi zilizoendelea.

Watanzania kwa mapenzi ya Mungu sera ya Magufulification iliondoshwa na kufutiliwa mbali nchini kwetu tarehe 17/3/2021 na kusimikwa kwa sera mpya ya SAMIALOGY ambayo tumeipenda, tumeikubali, na tunaitekeleza kwa kushinda.

Niwakumbushe tu wale waimba mapambio, waunga juhudi, sakuma gang, wazalendo uchwara na wafuasi wa sera ya magufulification kwamba sera ya tanzania kwa sasa ni SAMIALOGY, kupingana nayo ni kuwaudhi, na kuwakasirisha watanzania na dunia ya watu wastaarabu, hivyo uungwana ni kuchutama.

Nchi inaendelea kufunguka, tabasamu linarejea upya msitutoneshe vidonda vilivyotokana na sera ya kuzimu ya magufulification, maana ni kuikosea nchi adabu na ni uhaini kwa serikali yetu.

Magufulification acheni kuwashwa washwa mwacheni mama achape kazi, watanzania tuko nyuma yake.
Samiaology is branch of science🀣🀣
 
Kufuatia kifo cha Magufuli roho yangu Sasa "kwatuuu". Hata kama kilo ya unga itauzwa sh milioni moja na mafuta yakapanda bei na kuwa laki 6 kwa lita. Kwangu mm uhuru ni bora kuliko uuaji na utekaji wa Magufuli.

Samiaology hoyeee!
 
Kufuatia kifo cha Magufuli roho yangu Sasa "kwatuuu". Hata kama kilo ya unga itauzwa sh milioni moja na mafuta yakapanda bei na kuwa laki 6 kwa lita. Kwangu mm uhuru ni bira kuliko uuaji na utekaji wa Magufuli.

Samiaology hoyeee!
Tuko pamoja mkuu
 
Back
Top Bottom