nguluvisonzo
JF-Expert Member
- Dec 27, 2010
- 515
- 71
Baada ya selikali kupitia waziri mkuu akiagiza wazalishaji wote wa pombe wafunge mashine zitakazo kuwa zina bandika stempu za kodi mpaka sasa ni banana investment tu ndie aliye aandikishwa TRA Arusha wengine bado na wanalalamika kuwa wamekamilisha kila kitu,kuna nini hapo,Meneja wa TRA Arusha kulikoni?selikali ilitoa maagizo hayo ili iweze kukusanya kodi pasipo kupoteza mapato nyinyi mnachelewesha zoezi,wengine wanamikopo toka wasimame inakuwaje?au mpaka JPM aseme ndio mtekeleze?waziri wa Fedha mulika hawa watu wanakuangusha,waliopo Arusha toeni taarifa mbona mna mkuu wa Mkoa mchapa kazi,mtumieni.Takukuru Arusha fuatilieni hao TRA Arusha kuna jambo hapo.