uko wapi?Kwa sas sip huko
Kwa kweli.Kwanini uhusiano wenu uishie hapo au ulichukulia kama ni kejeli flani hivi au?
Kwenu wapi dada nataka leo nije kupiga iftariHahaha njoo kwetu jamani
Unatak uje kwetuKwenu wapi dada nataka leo nije kupiga iftari
Ikibidi nitakujaUnatak uje kwetu
Bas nitakuelekeza usijalIkibidi nitakuja
mida ya futar sionekan mmmhLeo ftar kwako
bora sio dada wa damu kwahyo ainaga ushemeji hahaha JokeMi nimeoa dada yenu. Niiteni shemeji
Karibu shemMi nimeoa dada yenu. Niiteni shemeji
wawap wew sehem ganNmekuja tayari
Wasegeju ni wadigo tuMi msegeju, kwetu Tanga.
MimiDonge moja hiiyooooo jaman anaekaa mzingan nani
hapana kaka, tuko tofauti kabisa, wadigo ni wambokomu, angalia historia hapo chini ( sio wambokomu wa kichaga lakini)Wasegeju ni wadigo tu
Sawa mkuu tuwe pamoja uzi usife jamanNgamiani , Nimezaliwa