Wazaliwa wa mkoa wa Tanga tukutane hapa

Karibu kagera. Ingawa kwa sasa sipo Tanga. Hivi bifu lenu na Mwamboni limeisha?
Hahahaha wana bifu kwa mambo ya ushirikina kulogana kama kawa.

Ni mitaa iliyopangika vizuri lakini kwa mambo ya kiswahili ni noma.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…