atlas copco
JF-Expert Member
- Jun 15, 2015
- 8,497
- 9,728
Nakuja Tanga soon nataka uwe mwenyeji wangu...hongea[emoji85][emoji85][emoji85]niughushizaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakuja Tanga soon nataka uwe mwenyeji wangu...hongea[emoji85][emoji85][emoji85]niughushizaaa
Watuache na Tanga yetu.hahah umeonaeee
Mwalimu wamcheka mwanafunzi tena! Teeee ngoja nikae chini ya mwembe hapa Mchapeni nifungue ile dictionary ulionipa nione nimekosea wapiHahahaaa. Ngoja Nkacheke kwanza kisha narudi Sesten.
Maana si kwa Wizi huo. 😂😂😂😂😂😂😂😂
Halafu hapo kwenye hizo taa kamawaenda Fire kuna trafic police wanapenda kusimama sana hapo
nakupigia dada wala usijaliNipigie jamaani mdogo wangu. Maana umemisika ujue.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] unaniiii dyadyaEwaaaaaa. Hapa ndio mahala pake sasa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mjage na dictionary na nyie basi. [emoji23][emoji23][emoji23]
@Hajar njoo huku[emoji23] [emoji23] [emoji23]Haya ukaramkadze huko? Je ni mnono mwenehu? Mi ni mnono simanya uwe?
karibu san naja kukufata kange kabisaNakuja Tanga soon nataka uwe mwenyeji wangu...
tanga hodariiiiWatuache na Tanga yetu.
Wanaume zetu wenyewe tunawapenda sana.
Kitandani si wanaume au wanawake, wote mahodari
nifate sahareWale wa Donge,Mwembe kigutu, Minyanjani mwisho wa Hiace mko wapiiii?? Tukaangalie mpira Kiboi pale au kwa Alawiiiii
wewe ni mwenyeji.kabisa usitucheze shere[emoji23] [emoji23] [emoji23]Halafu hapo kwenye hizo taa kamawaenda Fire kuna trafic police wanapenda kusimama sana hapo
Nimependa ulivotumia hilo neno hodaritanga hodariiii
Huu uzi utatusaidia kuwajua mashemeji zetu. Kijana tuliaWale wa kisosora mpo?
Ukhuty hujambo jirani yangunifate sahare
Kumbe naenda sawa mwalimu wangu kipenzi? Ngoja niongeze bidii sasaHahaaaa. Wala sijakucheka mwanafunzi wangu bali nimefurahi ulivyoyanyoosha maneno.
Natumia google map ukhuty wala sipajui😎😎😉wewe ni mwenyeji.kabisa usitucheze shere[emoji23] [emoji23] [emoji23]
babu mekuhamuHuu uzi utatusaidia kuwajua mashemeji zetu. Kijana tulia