Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,761
- 216,011
Hii tafiti nimeiona kwa wengi. Wazaliwa wengi hasa wale waliokuta nyumba za familia hawamiliki mijengo. Wengine waliojisogeza wanamiliki kiwanja lakini kujenga anasubiri kikokotoo.
Wale wa kuja wengi baada ya miaka mitano au chini ya hapo, anamiliki mjengo. Wengi waliniambia ni hasira ya kulipa kodi, masimango ya wenye nyumba ndivyo vimewasukuma.
Hawa wazawa wengine wanafurahisha. Mtu anaanza familia kabisa akiwa kwenye guest wing ya shemeji. Siku shemeji amempiga dada inabidi uwe upande wa shemeji usifukuzwe kwenye nyumba. Unamwambia dada avumilie ilhali damu imevilia kwenye jicho.
Wale wa kuja wengi baada ya miaka mitano au chini ya hapo, anamiliki mjengo. Wengi waliniambia ni hasira ya kulipa kodi, masimango ya wenye nyumba ndivyo vimewasukuma.
Hawa wazawa wengine wanafurahisha. Mtu anaanza familia kabisa akiwa kwenye guest wing ya shemeji. Siku shemeji amempiga dada inabidi uwe upande wa shemeji usifukuzwe kwenye nyumba. Unamwambia dada avumilie ilhali damu imevilia kwenye jicho.