maiyanga1
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 1,340
- 1,832
Naamini kila mmoja wetu anachukua tahadhari kujikinga na COVID 19.
Je, mhenga mwenzangu unakumbuka dMt, Co cabs, MORETCO, TADECO, CORETCO?
Je, unakumbuka magazeti gani ya zamani, ambayo ukiwa nje ya mikoani gazeti la leo unalisoma baada ya siku mbili?
Je unakumbuka majumba ya sinema na picha zake zilizohit?
Je unakumbuka kumbi gani za starehe zilizokuwa zinawaka moto weekend?
Je unakumbuka Taarifa ya Habari ya saa mbili usiku ilivokuwa muhimu kwa watu aidha kutumbuliwa au kuteuliwa?
Je unakumbuka jinsi vijana walivyokuwa mashujaa wanavyozamia meli kwenda nje?
Wadada wa zamani mnakumbuka mlivyokuwa mnachoma nywele ili kukonga nyoyo za wanaume?
Hebu tukumbushane, ya kale ni dhahabu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Je, mhenga mwenzangu unakumbuka dMt, Co cabs, MORETCO, TADECO, CORETCO?
Je, unakumbuka magazeti gani ya zamani, ambayo ukiwa nje ya mikoani gazeti la leo unalisoma baada ya siku mbili?
Je unakumbuka majumba ya sinema na picha zake zilizohit?
Je unakumbuka kumbi gani za starehe zilizokuwa zinawaka moto weekend?
Je unakumbuka Taarifa ya Habari ya saa mbili usiku ilivokuwa muhimu kwa watu aidha kutumbuliwa au kuteuliwa?
Je unakumbuka jinsi vijana walivyokuwa mashujaa wanavyozamia meli kwenda nje?
Wadada wa zamani mnakumbuka mlivyokuwa mnachoma nywele ili kukonga nyoyo za wanaume?
Hebu tukumbushane, ya kale ni dhahabu.
Sent using Jamii Forums mobile app