Kiu ya juzi sana na Sani linaloongelewa hapa sio ili la juzi second versionKiu, sani hata mimi nimeyakuta
Sawa muhengaKiu ya juzi sana na Sani linaloongelewa hapa sio ili la juzi second version
Sent using Jamii Forums mobile app
Majambo alikuwa kiboko' ya vikojozi!Kuna Mzee mwengine alikuwa anaitwa Mzee Majambo anauza karanga anavaa na manyanga mguuni...!
Ha ha ha ha duh linazunguka kila nyumbaUkifikaSani lilikuwa likitoka shuleni hakusomeki mpk umuone madenge. Mtu akija nalo asubuhi ikifika saa sita mchana limeshachakaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Majambo alikuwa kiboko' ya vikojozi!
Ila alikuwa anauza karanga nzuri balaa! Tatizo ukimsikia na manyanga yake anakuja unakimbia unaenda kujificha chini ya kitanda!Yeah ukiwa kikojozi akipita huyu mzee lazma wakupeleke kwake na alivyokuwa anatisha aisee lazma uache kujikojolea mkuu. 🤣🤣🤣
Ila alikuwa anauza karanga nzuri balaa! Tatizo ukimsikia na manyanga yake anakuja unakimbia unaenda kujificha chini ya kitanda!
Duh magari ya koni...leo eti vibaskeli vya Azam!Kabisa kabisa kiongozi alikuwa na karanga tamu kabisa akipita yeye baadae likipita gari la koni unashushia aisee.
Acha kabisa mkuu...!
Wale wezi walitumia akili kubwa sana! Kuna mtu na mkewe walikutana home asubuhi kila mtu alikimbilia upande wake. Magari waliyafuata mchana siku iliofuata.Kuna jamaa walijitokeza kwenye makaburi ya Kinondoni wakiwa wamevaa sanda na maudongo udongo kama vile wamefufuka hivi, sasa upande wa pili wa barabara kulikuwa na bar pale mwembe jini kukiwa kumepaki gari kama zote aisee, unakumbuka kilichotokea mkuu...? 🤣🤣🤣
Wale wezi walitumia akili kubwa sana! Kuna mtu na mkewe walikutana home asubuhi kila mtu alikimbilia upande wake. Magari waliyafuata mchana siku iliofuata.
Pikipiki aina za Yamaha, Kawasaki nk. Enzi zile Mchina aliyekuwa anajulikana alikuwa Chun Lai na zile suti za Chun Lai.
HahahahaDuh magari ya koni...leo eti vibaskeli vya Azam!
Naongezea.Safari Resort Bar nyumbani kwa OSS wana Ndekule/ Masantula/ Dukuduku. White House Kimara, nyumbani kwa Orchestra Maquiz Du Zaire wana Kamanyola bila jasho/ Sendema.
Nawakumbuka Dar International Jazz (Super Bomboka), UDA Jazz (Bayankata), Urafiki Jazz (Wana chakachua), Orchestra Magoma Moto ( The Big mayai), Tancut Almas (Fimbo Lugoda), Lola Afrika, Kurugenzi Jazz ya Arusha, Mwenge Jazz, Orchestra Kyauri Voice.......
Dah, enzi za vipindi vya RTD Idhaa ya Biashara kama vile Misakato, Ombi lako cha Selemani Muhogola, Club Raha Leo cha uncle J, Mambo mpwito-mpwito cha Charles Hillary, African Rythim cha Stephen Lyimo pale RTD Externa Service. Vipindi vya Idhaa ya Taifa ya RTD kama vile Usalama Barabarani, Ukulima wa kisasa, Ujumbe wa leo, Mikingamo cha Ahmed Kipozi.....yaani long time......Ama kweli siku hazigandi.
Vv
Sent using Jamii Forums mobile app
Avalon niliikuta na walikuwa bado wanaonyesha Cinema. Ila Drive in ilikuwa ni uwanja tu walikuwa hawaonyeshi kitu.Empress, Empire, Avalon, New chox, Cameo, Odeon, Drive-in cinema