Wazamani (wahenga) tukutane hapa


Hahahahah inaonesha dada wa kazi alikuwa anachukia mnamuingilia mapato yake.

😊
 
Pale Posta ya zamani kwenye stand ya Temeke kipindi hicho, kulikuwa na jamaa wanachoma mihogo kwa mafuta ya mawese. Ukila mipande mitatu na maji ya kwenye ndoo siku inapita vizuri kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha, na samaki
Posta yote bandarini imejaa meli mbovu tu

au enzi za Kununua kadi tahfif na ice cream pale snow cream
 
Mbowe,DDC (Kariakoo/Magomeni Kondoa), Imasco, Lang'ata, Mambo club, Rungwe oceanic, Silver sands, Msasani beach, La Dolce vita, Casanova
Imasco kiwanja cha nyumban hicho miaka hiyo ya tisin na msasan miaka hiyo lazma upande gar mbili tmk to k.koo alafu k.koo to kawe unashukia msasani beach au unaweza pandia buguruni sokon

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbowe,DDC (Kariakoo/Magomeni Kondoa), Imasco, Lang'ata, Mambo club, Rungwe oceanic, Silver sands, Msasani beach, La Dolce vita, Casanova
Hahahaha asee
Lang'ata kino hii now kuna Kanisa

Casanova/billiards ,masaki

La dolce vita, o"bay karibu na coco

Rungwe oceanic ,kwa mwakitwange

Kitambo sana hiyo ,sijui nimepatia ?

Zingine ; blue palms , ronies
 
Hahahaha asee
Lang'ata kino hii now kuna Kanisa

Casanova/billiards ,masaki

La dolce vita, o"bay karibu na coco

Rungwe oceanic ,kwa mwakitwange

Kitambo sana hiyo ,sijui nimepatia ?

Zingine ; blue palms , ronies
Mkuu wewe wa kitaa kabisa! Miami na peninsula hut nje ya Billiards unapakumbuka?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…