Wazambia wanashangaza na utamaduni wao wa nidhamu ya mdogo kumpigia magoti mkubwa.

Wazambia wanashangaza na utamaduni wao wa nidhamu ya mdogo kumpigia magoti mkubwa.

MamaSamia2025

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2012
Posts
14,588
Reaction score
32,361
Miaka kadhaa iliyopita kuna picha ili-trend sana mitandaoni ya Waziri mstaafu wa kilimo wa Zambia kuonekana amempigia magoti Rais mstaafu Edgar Lungu (nimeipost). Watu wengi sana walitoa maoni yao na wengine kufikia hatua ya kumlaani Rais Lungu kuwa ni dikteta anayedhalilisha watu wake. DC wa Tunduru, Mtatiro alikuwa miongoni mwa watu maarufu kupost na kuonyesha kukerwa na picha ile.

Binafsi pia nilikerwa mno na kumwona Rais Lungu kama mtu asiyefaa bila kujua kwa wazambia lile lilikuwa suala la kawaida sana. Yaani ni ishara tu ya kuonyesha nidhamu na wala hakuna baya. Ukimtembelea Mzambia basi utakutana na jambo litakalokushangaza sana. Mke wa mwenyeji wako (shemeji) akiwa anakupa maji ya kunywa lazima apige goti na atainuka ukishaweka glass ya maji chini baada ya kunywa. Pia wakati wa kukuitia msosi lazima apige goti ule muda anaposema "shemeji karibu"...

Mimi kwa kweli nataka huu utaratibu uletwe huku kwetu tuone kina Mdude Chadema akimpigia goti Mzee Kinana wanapokutana kwenye sehemu kama sherehe. Au Manara kumsalimia Karia kwa kupiga goti. Ni mambo ya nidhamu.

Nimekuwekea picha kadhaa ujionee hali halisi;
1. Waziri wa kilimo mstaafu akiwa kapiga goti mbele ya Rais mstaafu Lungu.

2. Rais Hakainde Hichilema aliyepiga magoti akimsalimia Chifu Chitimukulu wa kabila la Bemba.

3. Mbunge wa upinzani Chitalu Chilufya akisalimiana na Rais Hakainde Hichilema walipokutana kwenye sherehe za Umutomboko.

4. Rais mstaafu Edgar Lungu na mkewe Esther Lungu (wa kwanza kulia) wakisalimiana na makamu wa rais (aliyepiga goti) Mama Mutale Nalumango.

5. Wabunge wa chama cha upinzani PF walipomtembelea Chifu Mwata Kazembe.
 

Attachments

  • IMG_20220413_190039.jpg
    IMG_20220413_190039.jpg
    80.5 KB · Views: 14
  • IMG-20220508-WA0013.jpg
    IMG-20220508-WA0013.jpg
    34.6 KB · Views: 13
  • FB_IMG_1659361862723.jpg
    FB_IMG_1659361862723.jpg
    32.5 KB · Views: 12
  • IMG-20220508-WA0011.jpg
    IMG-20220508-WA0011.jpg
    48.3 KB · Views: 13
  • FB_IMG_1659188337438.jpg
    FB_IMG_1659188337438.jpg
    38.5 KB · Views: 13
  • IMG-20220508-WA0012.jpg
    IMG-20220508-WA0012.jpg
    30 KB · Views: 13
  • FB_IMG_1659188327722.jpg
    FB_IMG_1659188327722.jpg
    57.1 KB · Views: 13
Tofauti ya wao na sisi ni kuwa sisi kwa baadhi ya makabila wanawake ndo hupiga magoti na si wanaume!!!
Ila hapo kwenye picha ya baiskeli hao wamama ni Wazambia kweli, mbona upigaji wa magoti kama wa kule kwa wananzengo
 
Hapa Tanzania kwa baadhi ya makabila ni kawaida, kwa mfano twasukuma kwa wanawake hupiga goti pale wanaposalimia wakubwa wao, kukaribisha chakula au wanapokupa kikombe cha maji ya kunywa.
 
Kwetu Unyakyusani ipo hii, ila ni kwa wanawake.

Hata Ulaya hususani uingereza ipo hii lakini huitwa courtesy.
 
Miaka kadhaa iliyopita kuna picha ili-trend sana mitandaoni ya Waziri mstaafu wa kilimo wa Zambia kuonekana amempigia magoti Rais mstaafu Edgar Lungu (nimeipost). Watu wengi sana walitoa maoni yao na wengine kufikia hatua ya kumlaani Rais Lungu kuwa ni dikteta anayedhalilisha watu wake. DC wa Tunduru, Mtatiro alikuwa miongoni mwa watu maarufu kupost na kuonyesha kukerwa na picha ile.

Binafsi pia nilikerwa mno na kumwona Rais Lungu kama mtu asiyefaa bila kujua kwa wazambia lile lilikuwa suala la kawaida sana. Yaani ni ishara tu ya kuonyesha nidhamu na wala hakuna baya. Ukimtembelea Mzambia basi utakutana na jambo litakalokushangaza sana. Mke wa mwenyeji wako (shemeji) akiwa anakupa maji ya kunywa lazima apige goti na atainuka ukishaweka glass ya maji chini baada ya kunywa. Pia wakati wa kukuitia msosi lazima apige goti ule muda anaposema "shemeji karibu"...

Mimi kwa kweli nataka huu utaratibu uletwe huku kwetu tuone kina Mdude Chadema akimpigia goti Mzee Kinana wanapokutana kwenye sehemu kama sherehe. Au Manara kumsalimia Karia kwa kupiga goti. Ni mambo ya nidhamu.

Nimekuwekea picha kadhaa ujionee hali halisi;
1. Waziri wa kilimo mstaafu akiwa kapiga goti mbele ya Rais mstaafu Lungu.

2. Rais Hakainde Hichilema aliyepiga magoti akimsalimia Chifu Chitimukulu wa kabila la Bemba.

3. Mbunge wa upinzani Chitalu Chilufya akisalimiana na Rais Hakainde Hichilema walipokutana kwenye sherehe za Umutomboko.

4. Rais mstaafu Edgar Lungu na mkewe Esther Lungu (wa kwanza kulia) wakisalimiana na makamu wa rais (aliyepiga goti) Mama Mutale Nalumango.

5. Wabunge wa chama cha upinzani PF walipomtembelea Chifu Mwata Kazembe.
Na wewe umenishangaza kwa vitu viwili

1: nikweli kila mtu anauhuru wakujiamulia atakacho lakini kwanini ujiite #mamasamia 2025 huoni kama ni kampeni? Pia wenda ikawa wewe ni mwanaume imagine

2: kwanini unatujazia mapicha yako mengi mengi ivo yasiyokuwa na maana kwa kisingizio chakutuonyesha tamaduni za watu
ukinijibu kwa hoja tutaenda sawa....
N:B.Elewa comment kwanza
 
Miaka kadhaa iliyopita kuna picha ili-trend sana mitandaoni ya Waziri mstaafu wa kilimo wa Zambia kuonekana amempigia magoti Rais mstaafu Edgar Lungu (nimeipost). Watu wengi sana walitoa maoni yao na wengine kufikia hatua ya kumlaani Rais Lungu kuwa ni dikteta anayedhalilisha watu wake. DC wa Tunduru, Mtatiro alikuwa miongoni mwa watu maarufu kupost na kuonyesha kukerwa na picha ile.

Binafsi pia nilikerwa mno na kumwona Rais Lungu kama mtu asiyefaa bila kujua kwa wazambia lile lilikuwa suala la kawaida sana. Yaani ni ishara tu ya kuonyesha nidhamu na wala hakuna baya. Ukimtembelea Mzambia basi utakutana na jambo litakalokushangaza sana. Mke wa mwenyeji wako (shemeji) akiwa anakupa maji ya kunywa lazima apige goti na atainuka ukishaweka glass ya maji chini baada ya kunywa. Pia wakati wa kukuitia msosi lazima apige goti ule muda anaposema "shemeji karibu"...

Mimi kwa kweli nataka huu utaratibu uletwe huku kwetu tuone kina Mdude Chadema akimpigia goti Mzee Kinana wanapokutana kwenye sehemu kama sherehe. Au Manara kumsalimia Karia kwa kupiga goti. Ni mambo ya nidhamu.

Nimekuwekea picha kadhaa ujionee hali halisi;
1. Waziri wa kilimo mstaafu akiwa kapiga goti mbele ya Rais mstaafu Lungu.

2. Rais Hakainde Hichilema aliyepiga magoti akimsalimia Chifu Chitimukulu wa kabila la Bemba.

3. Mbunge wa upinzani Chitalu Chilufya akisalimiana na Rais Hakainde Hichilema walipokutana kwenye sherehe za Umutomboko.

4. Rais mstaafu Edgar Lungu na mkewe Esther Lungu (wa kwanza kulia) wakisalimiana na makamu wa rais (aliyepiga goti) Mama Mutale Nalumango.

5. Wabunge wa chama cha upinzani PF walipomtembelea Chifu Mwata Kazembe.
Si Zambia tu, nchi nyingi za kiafrika ikiwemo Tanzania ni jambo la kawaida, ila sema wewe umekulia mjini ndiyo sababu unaona ajabu.
 
Si Zambia tu, nchi nyingi za kiafrika ikiwemo Tanzania ni jambo la kawaida, ila sema wewe umekulia mjini ndiyo sababu unaona ajabu.
Nitakupinga maisha. Au tupia picha moja tu ya watu maarufu wakisalimiana kwa magoti
 
Hiyo ni kawaida ya wazambia

Nikiendaga Zambia,kitwe huwa nafikiaga nkana East,huko kuna rafiki
Yangu ambaye huko ni advocate mashuhuri na ni mtu mwenye maisha yake,ana mke anayejielewa pia
Sasa mke wake kila akini salimia lazima apige got kwa bsharia mimi
Mpaka huwa naonaga noma

Ova
 
Kupiga magoti ni kawauda ya jamii nyingi hasa Tz. Kwa mfano maeneo ya kanda ya ziwa n kitu cha kawaida. Lakini differrnce ni kwa wanaume kupiga magoti. Hiyo nimeiona kwa wanyamwezi tu.
But ni jambo la heshima🤷
 
Siwezi kubishana na wewe, umekulia mjini unataka kuupinga utamaduni wa vijijini, nenda usukumani au unyakyusani na unyamwezini.
Sj unaonaga spika tulia akilisaliimia
Ni kama anainama

Ova
 
Kupiga magoti ni kawauda ya jamii nyingi hasa Tz. Kwa mfano maeneo ya kanda ya ziwa n kitu cha kawaida. Lakini differrnce ni kwa wanaume kupiga magoti. Hiyo nimeiona kwa wanyamwezi tu.
But ni jambo la heshima[emoji1745]
Wadada wa mjini wao wanatingisha makalio tu

Ova
 
Na wewe umenishangaza kwa vitu viwili

1: nikweli kila mtu anauhuru wakujiamulia atakacho lakini kwanini ujiite #mamasamia 2025 huoni kama ni kampeni? Pia wenda ikawa wewe ni mwanaume imagine

2: kwanini unatujazia mapicha yako mengi mengi ivo yasiyokuwa na maana kwa kisingizio chakutuonyesha tamaduni za watu
ukinijibu kwa hoja tutaenda sawa....
N:B.Elewa comment kwanza
Pia umenishangaza vitu viwili kwenye comment yako;

1. Kila mtu ana uhuru wa kujiita jina lolote hapa JF. Ni kweli hili jina ni la kimkakati na ninataka Mama Samie ashinde 2025. Kama hutaki kunywa sumu. Ni kweli mimi ni mwanaume na mama yako ni shahidi mzuri wa huu uanaume wangu.

2. Angesema mmiliki wa JF nimemjazia mapicha kwenye server yake angalau kwa mbali ingeleta maana ila kahaba kama wewe kusema nimekujazia picha inaleta sana ukakasi kukuelewa.
 
Hiyo ni kawaida ya wazambia

Nikiendaga Zambia,kitwe huwa nafikiaga nkana East,huko kuna rafiki
Yangu ambaye huko ni advocate mashuhuri na ni mtu mwenye maisha yake,ana mke anayejielewa pia
Sasa mke wake kila akini salimia lazima apige got kwa bsharia mimi
Mpaka huwa naonaga noma

Ova
Mzee wa Kino umepiga ruti nyingi sana aisee. Mimi unanihamasisha sana kwenye ujana wangu kuchangamkia kila fursa.
 
Pia umenishangaza vitu viwili kwenye comment yako;

1. Kila mtu ana uhuru wa kujiita jina lolote hapa JF. Ni kweli hili jina ni la kimkakati na ninataka Mama Samie ashinde 2025. Kama hutaki kunywa sumu. Ni kweli mimi ni mwanaume na mama yako ni shahidi mzuri wa huu uanaume wangu.

2. Angesema mmiliki wa JF nimemjazia mapicha kwenye server yake angalau kwa mbali ingeleta maana ila kahaba kama wewe kusema nimekujazia picha inaleta sana ukakasi kwanza

Kwanza kama ni
mkakati umesha feli
Pia ikiwa wewe ni mwanaune na unajiita #mamasamia ... nashindwa kukuelewa

La mwisho jifunze kujikita kwenye mada sasa mzaziwangu anahusika vipi hapa ... au mamasamia kakukaa rohoni
 
Kwanza kama ni
mkakati umesha feli
Pia ikiwa wewe ni mwanaune na unajiita #mamasamia ... nashindwa kukuelewa

La mwisho jifunze kujikita kwenye mada sasa mzaziwangu anahusika vipi hapa ... au mamasamia kakukaa rohoni
Jomba baki na mkakati wako ambao hauna faida yoyote kwangu. Wewe kunielewa sio lazima. Ukianzisha vita usitake kumchagulia adui silaha.
 
Back
Top Bottom