Wazambia wawatupia lawama viongozi wao kushindwa kufanya mambo makubwa kama Tanzania

MamaSamia2025

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2012
Posts
14,588
Reaction score
32,361
Wakati genge la Ufipa likikazana kupotosha umma kuhusu uongozi thabiti wa Mama Samia Hassan, majirani zetu Zambia wameguswa sana na uongozi wa Mama kiasi kwamba wameshindwa kuvumilia na kuamua kuwatupia lawama viongozi wao.

Hii imetokea baada ya mtandao maarufu nchini Zambia uitwao Kalemba kuripoti kuanza kwa safari za treni za umeme Dar - Moro na Dar - Dom. Nimekuwekea link hapa ukajisomee hiyo habari na maoni ya majirani zetu.






 
Hawajui kinachoendelea kwenye uhalisia wa mambo nchini.
 
Rais Hakainde Hichilema ana wakati mgumu zaidi kurejea mamlakani kuliko Rais mwingine yeyote Zambia πŸ’
 
Wazambia hawajui huyu mama

1. Amewatimua wamasai ngorongoro Ili awape wajomba waarabu.

2. Ameuza bahari deep sea Kwa wakorea.

3. Hawajui kuwa anapanga kuzibinafsisha RELI Kwa waarabu.

4. Hawajui kuwa ameuza bandari zetu.

5. Hawajui kuwa anakopa Kila kukicha Kisha zinaibwa.

Nchi yetu imebarikiwa sana, ila CCM na viongozi wake wame.......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…