Wazanzibar wanaendelea kudai mamlaka kamili ya nchi yao

Ww unae kataa kwenu ndio tumwa hasssaa
 
Wakubwa wakiongea dogo kaa kimya
 
Wamezoea kukaririshwa hao, ndio maana wanaambiwa binaadam w mwanzo alikua nyani nao wanakubal
 
Wamezoea kukaririshwa hao, ndio maana wanaambiwa binaadam w mwanzo alikua nyani nao wanakubal
Hivi hiyo source of information alio toa umeiona, ni wikipedia Ni hao hao ambao unasema wanatukaririsha binadam wa kwanza alikua nyani, read, think before acting
 
Why all of these now!
Najua unakoelekea..hiyo barua ya kuomba kujitoa kwenye muungano, imeandikwa na imejibiwa wakati Magufuli yupo hai. Angalia imejibiwa tarehe 4 March. Maana yake iliandikwa kabla ya hapo. Na bado hata ilipojibiwa Magu alikuwepo, amekufa tar 17 March. Najua Mnataka kumlaumu mama Samia. Kwenda zenu huko!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…